
FASIHI SIMULIZI: UTANGULIZI WA FASIHI SIMULIZI
Authored by Polycap Adicka
World Languages
3rd Grade
Used 47+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
20 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Ni jibu gani linaloeleza vizuri zaidi maana ya fasihi simulizi?
Fasihi inayosemwa watu wanapokaa.
Fasihi inayohusu masimulizi kama vile ya riwaya.
Fasihi inayowasilishwa kwa mazungumzo na kuhifadhiwa akilini.
Fasihi inayohifadhiwa akilini ingawa wakati mwingine huwa vitabuni.
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Ni sifa zipi zinazotambulisha fasihi kama sanaa?
Lugha yenye ufundi/ina umbo maalum/husawiri mandhari/hujenga wahusika kwa ustadi.
Ina masimulizi/ina umbo maalum/ina matukio/hujenga wahusika kistadi.
Lugha yenye ufundi/ina maelezo/ina umbo maalum/ husawiri mandhari.
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Ni ipi si dhima ya fasihi simulizi katika jamii?
Kuliwaza.
Msingi wa kuunganisha watu.
Kuimarisha uzalendo.
Kitambulisho cha kundi fulani.
Kutatua migogoro ya kijamii.
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Kamilisha: Fasihi simulizi huwa na hadhira hai ilhali fasihi andishi______________.
ina hadhira yenye mchanganyiko.
ina hadhira isiyoonekana ana kwa ana na mwandishi.
ina hadhira inayoweza kujitokeza na kutoweka.
ina hadhira inayosoma na kusikiliza.
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Tambua sentensi inayosema ukweli kuhusu fasihi simulizi.
Fasihi simulizi ni mali ya serikali ilhali fasihi andishi ni mali ya kibinafsi.
Fasihi simulizi ina hadhira pana kuliko fasihi andishi.
Fasihi simulizi ina tanzu chache kuliko za fasihi andishi.
Fasihi simulizi ina historia fupi kuliko fasihi andishi.
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Ni zipi tanzu za fasihi simulizi?
Ngano/ Semi/ Mazungumzo/ Maigizo/ Ushairi Simulizi.
Hadithi/ Misemo/ Mazungumzo/ Maigizo/ Ushairi Simulizi.
Hadithi/ Semi/ Mazungumzo/ Maigizo/ Ushairi Simulizi.
Hadithi/ Semi/ Mazungumzo/Uigizaji/ Ushairi Simulizi.
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Ni vipi fasihi simulizi imeathiri fasihi andishi kimaudhui/dhamira?
Maswala mengi katika fasihi andishi ndiyo yamejadiliwa katika fasihi simulizi.
Lugha inyotumiwa katika fasihi simulizi ndiyo hutumiwa kwenye fasihi andishi.
Wahusika wa fasihi simulizi ndio hujitokeza katika fasihi andishi.
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?