SIKU NJEMA

SIKU NJEMA

6th - 7th Grade

11 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

“啊”的变调

“啊”的变调

3rd - 6th Grade

15 Qs

Chozi wahisika

Chozi wahisika

KG - 9th Grade

6 Qs

RBT TAHUN 6 - PENJAGAAN TANAMAN

RBT TAHUN 6 - PENJAGAAN TANAMAN

6th Grade

10 Qs

“啊”

“啊”

1st - 6th Grade

10 Qs

Aina za maneno

Aina za maneno

5th - 8th Grade

16 Qs

Quiz ya Kiswahili - Nomino

Quiz ya Kiswahili - Nomino

7th Grade

10 Qs

Mjarabu wa wanyama wa porini.

Mjarabu wa wanyama wa porini.

6th Grade

15 Qs

Kiswahili Umoja na Wingi

Kiswahili Umoja na Wingi

5th - 7th Grade

15 Qs

SIKU NJEMA

SIKU NJEMA

Assessment

Quiz

Other

6th - 7th Grade

Medium

Created by

Yaddar Abisai

Used 5+ times

FREE Resource

11 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Mhusika mkuu katika hadithi ya Siku Njema alikuwa na wanuna wangapi?

Wawili

Wanne

Sufuri

Mmoja

Answer explanation

Kungowea Mswahili alizaliwa peke yake kwa wazazi ambao hawakuwahi kuoona.

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Chagua neno baki.

zani

aula

-ema

bora

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Mama yake Msanifu Kombo alikuwa na wanuna wangapi?

Mmoja

Watatu

Wawili

Kumi na wawili

Answer explanation

Mama wa Msanifu Kombo alikuwa msichana wa pekee kwa familia ya ndugu watatu. Yeye na wavulana wawili kwa majina Salim Makame na Kitwana Makame

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Je, Msanifu Kombo alikosa sifa gani kati ya hizi?

papara

upole

bidii

huruma

Answer explanation

Papara ni hali ya kufanya mambo bila kuyawazia kwanza

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Chagua maelezo yaliyo sahihi

Mamaye Mswahili alikuwa mke wa mwisho katika famila ya Makame

Baada ya kifo cha mumewe, Zainabu aliamua kurudi alikozaliwa na hakuolewa tena.

Ndoa kati ya Juma Mkosi na Zainabu makame aliharibika kwa sababu ya dini

Bibi wa Kongowea alikuwa katika ndoa ya mitara

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Taja jina rasmi la mhusika mkuu

Kongowea Mswahili

Selemani Mapunda

Vumilia Binti Abdalla

Msanifu Kombo

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 1 pt

Kati ya wahusika hawa, ni yupi aliyewahi kumnyanganya Mswahili nguo alipokuwa akishtaki uchafu?

Amina

Vumilia

Selemani

MwanaSaumu

Create a free account and access millions of resources

Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports
or continue with
Microsoft
Apple
Others
By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy
Already have an account?