Search Header Logo

Magonjwa (Ukimwi)

Authored by bekhitah gracious

World Languages

8th Grade

Used 2+ times

Magonjwa (Ukimwi)
AI

AI Actions

Add similar questions

Adjust reading levels

Convert to real-world scenario

Translate activity

More...

    Content View

    Student View

10 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Mgonjwa alifanyiwa upasuaji katika chumba gani?

wodi

jikoni

thieta

chumba cha wagonjwa

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Kamau alipewa...........baada ya kufanyiwa ..............vya ugonjwa wa Ukimwi.

chakula, kidonda

ushauri, virusi

ushauri, vipimo

vipimo, damu

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Unafaa kuwafanyia nini wagonjwa wa ukimwi?

kuwatenga

kuwakimbia

kuwaonyesha dharau

kuwaonyesha upendo.

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Ni ipi si njia ya kuambukizwa ukimwi?

kutumia wembe na watu wengine.

kuwekewa damu ya mgonjwa wa ukimwi

kutumia sahani na wagonjwa wa ukimwi.

kushiriki ngono na wagonjwa wa ukimwi

bila kinga.

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Ipi ni njia ya kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi?

kuketi na mgonjwa wa ukimwi

kumsalimia mgonjwa wa ukimwi

kudungwa sindano ya mgonjwa wa ukimwi.

kutembelea mgonjwa wa ukimwi.

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

KIDONDA

tests

sore/wound

skinny

admitted

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Media Image

Mgonjwa huyu ame........ugonjwa wa ukimwi.

kufa

ungua

ugua

lala

Access all questions and much more by creating a free account

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Classlink

Continue with Classlink

Clever

Continue with Clever

or continue with

Microsoft

Microsoft

Apple

Apple

Others

Others

Already have an account?