
KISWAHILI JARIBIO LA PILI
Authored by ELITE TEAM
Other
7th Grade
Used 8+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
20 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Nomino ni mojawapo ya vipengele katika lugha ya Kiswahili.
Je, ni kundi lipi la nomino ambalo pia huitwa nomino mahususi?
Vitenzijina.
Nomino za pekee.
Nomino fungamano.
Nomino dhahania.
Answer explanation
Nomino za pekee ndizo ambazo huitwa nomino mahususi. Ni nomino mahususi kwa sababu zinahusu vitu maalum au spesheli.
Nomino hizi huanza kuandikwa kwa herufi kubwa hata zikiwa katikati ya sentensi.
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 10 pts
Chagua nomino ya pekee kutoka kwa sentensi hii.
Mwalimu alipoingia darasani, Jembe alimuuliza ruhusa ya kuenda msalani.
Jembe.
Mwalimu.
Ruhusa.
Msalani.
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Chagua kitenzijina ambacho hakijaandikwa vyema.
Kula.
Kulala.
Kucheza.
Kukufa.
Answer explanation
Vitendo hivi huundwa kwa silabi moja:
-la
-fa
-ja
-nywa
Basi ili kuunda kitenzijina, unaongeza tu KU mwanzoni.
-Kula
-Kufa
-Kuja
-Kunywa
4.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
3 mins • 10 pts
Nomino za vitu ambavyo haviwezi kuhesabika na hupatikana tu katika wingi kama vile: maji, marashi na maziwa huitwa nomino za wingi au nomino (a)
Answer explanation
Nomino hizi pia huitwa FUNGAMANO kwa sababu vitu hivi vimeshikana. Yaani vimefungamana. Haviwezi kuwachanishwa.
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 10 pts
Ni sentensi ipi iliyoandikwa katika wakati uliopo hali endelezi?
Mvua ya kidindia ilikuwa ikinyesha hapa kwetu.
Mvua ya kidindia itakuwa ikinyesha hapa kwetu
Mvua ya kidindia ingali inanyesha hapa kwetu.
Mvua ya kidindia hunyesha hapa kwetu kila siku.
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Badilisha sentensi hii iwe katika wakati ujao hali timilifu.
Shule yetu imefungwa mapema sana.
Shule yetu itakuwa imefungwa mapema sana.
Shule yetu imekuwa imefungwa mapema sana.
Shule yetu itakuwa ikifungwa mapema sana.
Shule yetu ilikuwa imefungwa mapema sana.
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Sentensi zifuatazo hazijaandikwa sahihi ila moja tu.
Ni gani sahihi?
Baba wa Musa angekuwa na pesa, angalimnunulia Musa gari.
Wanafunzi wote walikuwa wanasoma kwa bidii.
Kesho, wanafunzi watakuwa wanafanya zoezi.
Mimi ningekuwa na uwezo, ningewasaidia watu maskini.
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?