KISWAHILI JARIBIO LA PILI

KISWAHILI JARIBIO LA PILI

7th Grade

20 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

Maswali ya Nomino za Pekee na Kawaida

Maswali ya Nomino za Pekee na Kawaida

7th Grade

20 Qs

Kiswahili

Kiswahili

7th Grade

15 Qs

Aina za maneno

Aina za maneno

5th - 8th Grade

16 Qs

NPTI Bridging Kiswahili C.F.U 2

NPTI Bridging Kiswahili C.F.U 2

6th Grade - University

15 Qs

Kirejeshi amba- na -O-

Kirejeshi amba- na -O-

6th - 8th Grade

15 Qs

Sarufi :Aina Za Maneno.

Sarufi :Aina Za Maneno.

5th - 12th Grade

25 Qs

Kiswahili Toleo La 1

Kiswahili Toleo La 1

5th - 8th Grade

25 Qs

Kiswahili Revision Year 7

Kiswahili Revision Year 7

7th Grade

15 Qs

KISWAHILI JARIBIO LA PILI

KISWAHILI JARIBIO LA PILI

Assessment

Quiz

Other

7th Grade

Medium

Created by

ELITE TEAM

Used 8+ times

FREE Resource

20 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 10 pts

Nomino ni mojawapo ya vipengele katika lugha ya Kiswahili.

Je, ni kundi lipi la nomino ambalo pia huitwa nomino mahususi?

Vitenzijina.

Nomino za pekee.

Nomino fungamano.

Nomino dhahania.

Answer explanation

Nomino za pekee ndizo ambazo huitwa nomino mahususi. Ni nomino mahususi kwa sababu zinahusu vitu maalum au spesheli.

Nomino hizi huanza kuandikwa kwa herufi kubwa hata zikiwa katikati ya sentensi.

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 10 pts

Chagua nomino ya pekee kutoka kwa sentensi hii.

Mwalimu alipoingia darasani, Jembe alimuuliza ruhusa ya kuenda msalani.

Jembe.

Mwalimu.

Ruhusa.

Msalani.

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 10 pts

Chagua kitenzijina ambacho hakijaandikwa vyema.

Kula.

Kulala.

Kucheza.

Kukufa.

Answer explanation

Vitendo hivi huundwa kwa silabi moja:

-la

-fa

-ja

-nywa

Basi ili kuunda kitenzijina, unaongeza tu KU mwanzoni.

-Kula

-Kufa

-Kuja

-Kunywa

4.

FILL IN THE BLANK QUESTION

3 mins • 10 pts

Nomino za vitu ambavyo haviwezi kuhesabika na hupatikana tu katika wingi kama vile: maji, marashi na maziwa huitwa nomino za wingi au nomino ___________________

Answer explanation

Nomino hizi pia huitwa FUNGAMANO kwa sababu vitu hivi vimeshikana. Yaani vimefungamana. Haviwezi kuwachanishwa.

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

2 mins • 10 pts

Ni sentensi ipi iliyoandikwa katika wakati uliopo hali endelezi?

Mvua ya kidindia ilikuwa ikinyesha hapa kwetu.

Mvua ya kidindia itakuwa ikinyesha hapa kwetu

Mvua ya kidindia ingali inanyesha hapa kwetu.

Mvua ya kidindia hunyesha hapa kwetu kila siku.

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 10 pts

Badilisha sentensi hii iwe katika wakati ujao hali timilifu.

Shule yetu imefungwa mapema sana.

Shule yetu itakuwa imefungwa mapema sana.

Shule yetu imekuwa imefungwa mapema sana.

Shule yetu itakuwa ikifungwa mapema sana.

Shule yetu ilikuwa imefungwa mapema sana.

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

3 mins • 10 pts

Sentensi zifuatazo hazijaandikwa sahihi ila moja tu.

Ni gani sahihi?

Baba wa Musa angekuwa na pesa, angalimnunulia Musa gari.

Wanafunzi wote walikuwa wanasoma kwa bidii.

Kesho, wanafunzi watakuwa wanafanya zoezi.

Mimi ningekuwa na uwezo, ningewasaidia watu maskini.

Create a free account and access millions of resources

Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports
or continue with
Microsoft
Apple
Others
By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy
Already have an account?