
FASIHI - GREDI YA SABA
Authored by Yaddah Okillah
World Languages
7th Grade
Used 8+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
10 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
5 mins • 10 pts
Je, ni nini maana ya fasihi?
Fasihi ni sanaa inayotumia lugha ya kiubunifu kuwasilisha masuala yanayohusu binadamu na mazingira yake.
Fasihi ni mambo yaliyoandikwa yanayoelezea mwanzo wa kitu au jambo.
Fasihi ni nyimbo ambazo huimbiwa watoto ili walale au watulie.
Fasihi ni kitabu cha hadithi ambayo ni ndefu kuliko hadithi fupi lakini fupi kuliko riwaya.
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Kuna tanzu mbili za fasihi. Tanzu hizi ni gani?
Fasihi simulizi na novela.
Fasihi andishi na hadithi fupi.
Fasihi andishi na Fasihi simulizi.
Bembelezi na nyimbo za watoto.
3.
FILL IN THE BLANK QUESTION
5 mins • 10 pts
Mtu ambaye huwasilisha kazi ya fasihi simulizi huitwa nani?
4.
FILL IN THE BLANK QUESTION
5 mins • 10 pts
Watu au mtu ambaye husikiliza au kusoma kazi ya fasihi huitwa vipi?
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
5 mins • 10 pts
Soma wimbo huu kwa makini kisha ujibu maswali.
Je, huu ni wimbo wa aina gani?
Wimbo wa kazi.
Wimbo wa watoto wadogo.
Wimbo wa watoto.
Bembelezi.
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
3 mins • 10 pts
Zifuatazo ni sifa za wimbo huu isipokuwa______
Huimbwa na watoto wachanga.
Huimbwa kwa sauti ya kuongoa. Yaani, sauti ya chini.
Huimbiwa watoto wachanga
Huwa na ahadi kwa mtoto mchanga.
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
5 mins • 10 pts
Chagua sifa ambayo ni ya fasihi simulizi.
Husomewa mahali popote na wakati wowote.
Huwa na hadhira tuli.
Huwa na hadhira tendi.
Huchukua muda mrefu kurekebisha.
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?