isaya 15-21

isaya 15-21

Professional Development

13 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

Berbuka Puasa

Berbuka Puasa

5th Grade - Professional Development

10 Qs

SALIMUL AQIDAH

SALIMUL AQIDAH

Professional Development

10 Qs

SURAT YA SIN

SURAT YA SIN

Professional Development

10 Qs

Episode 4: The Cave of Wonders

Episode 4: The Cave of Wonders

KG - Professional Development

9 Qs

iSAYA 29-35

iSAYA 29-35

Professional Development

13 Qs

1 Timothy BOOK

1 Timothy BOOK

Professional Development

18 Qs

Dpc Luke 21-24 quiz

Dpc Luke 21-24 quiz

1st Grade - Professional Development

15 Qs

ZC QUIZ

ZC QUIZ

1st Grade - Professional Development

10 Qs

isaya 15-21

isaya 15-21

Assessment

Quiz

Religious Studies

Professional Development

Easy

Created by

Elly Laur

Used 2+ times

FREE Resource

13 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 3 pts

sura ya 15

kupigwa kwa Dameski na kushi na Bwana Mungu

kupigwa kwa ashuru sababu ya majivuno ya mfalme wa ashuru

kutekwa nyara kwa Yerusalemu

kungamizwa na kuharibiwa kwa moabu, majonzi na kilio

2.

FILL IN THE BLANK QUESTION

1 min • 2 pts

kuwa na upaa na kunyoa ndevu kwa watu wa moabu ni ishara ya nini?

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

kiini cha sura ya 16 ni?

kuangamia na kuharibiwa kwa moabu

kuvunjika kwa Yerusalemu

shina la Yese kuchipuka

kutakaswa kwa Isaya nabii

4.

FILL IN THE BLANK QUESTION

1 min • 1 pt

utabiri juu ya Dameski upo sura ya ngapi?

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

kupigwa kwa Dameski na wana wa israeli katika sura ya utabiri juu yao ili kwa sababu gani?

wamemzurumu yatima na kuchukua haki ya mjane.

wameshirikiana na babeli

wamemsahau Mungu wa wokovu wao

wameshikamana na miungu migeni

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 4 pts

sura ya 18 ya isaya ni utabiri juu ya kushi wenye mwisho gani?

kuangamizwa kwa kushi kabisa hata mabaki yasionekane

kuliwa mabaki na hayawani wa porini na wanyama wa mbugani

kumletea Bwana wa majeshi hedaya na kumuabudu Mungu wa kweli

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 3 pts

sura ya 18 inaonesha utabiri wa mataifa kumrudia Mungu na kumwabudu Mungu wa kweli Bwana wa majeshi, baada kutokewa na majanga mabaya?

kweli

si kweli

Create a free account and access millions of resources

Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports
or continue with
Microsoft
Apple
Others
By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy
Already have an account?