
luka 1-7
Authored by Elly Laur
Religious Studies
Professional Development
Used 1+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
18 questions
Show all answers
1.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Kitabu cha Injili ya Luka, kiliandikwa maalumu kwa mtu mmoja maarufu na mwenye heshima aitwaye (a) ?
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiendelea katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.
Maneno haya ni juu akina nani?
Joseph na mariam
Zakaria na Elizabeti
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Kwanini malaika Gabriel alimwambia Zakaria kuwa atakuwa bubu ata mtoto amezaliwa?
Kutunza ushuhuda.
Kutoonesha kuwa ameona maono kwa watu waliokuwa nje
Kwa sababu hakusadiki yale aliyoambiwa na malaika Gabriel
4.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Lk 1:35
[35] Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.
Kipi unajifunza hapa...
Evaluate responses using AI:
OFF
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Maneno haya katika sura ya kwanza ya Luka yalinenwa na nani kwenda kwa nani?
Gabriel kwenda kwa Yusuph baba yake Yesu
Gabriel kwenda kwa Zekaria
Gabriel kwenda kwa Mariam
Gabriel kwenda kwa Elisabeti
6.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Unafikiri, kwanini mariam mama wa Yesu, alienda kwa Elisabeti baada ya kupata taarifa kutoka kwa malaika Gabriel na akakaa huko miezi mitatu? Tutafakari pamoja....
Evaluate responses using AI:
OFF
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Maneno haya yalisemwa na nani ?
Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
Mariam alipokuwa akimwadhimisha Bwana baada ya kupata Habari njema.
Jeshi la malaika likimsifu Mungu, Mbele ya wachungaji kondeni.
Zakaria alipojazwa Roho akaanza kutabiri akimsifu Mungu.
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?