NEW
Font size
S
M
L
XL
WorksheetsKiswahili Grade 3
Total questions: 13
Worksheet time: 7mins
Name
Class
Date
1.
Kanusha:
Keti kitini.
a)
Usiketi kitini
b)
Utaketi kitini
c)
Simama
d)
Meza
2.
Kanusha:
Cheza darasani
a)
Cheza darasani
b)
Utacheza darsani
c)
Usicheze darasani
d)
Soma darasani
3.
Hii ni alama ya :
a)
Kivukio cha watu
b)
Alama ya hospitali
c)
Kivukio cha wanyama
d)
Kivukio cha watoto
4.
Hii ni alama ya :
a)
Kivukio cha watu
b)
Alama ya hospitali
c)
Kivukio cha wanyama
d)
Kivukio cha watoto
5.
Kuku ____________ watachinjwa.
a)
Huyu
b)
Hawa
6.
Kifaru __________ ni mkubwa.
a)
Hawa
b)
Huyu
7.
Kitendawili:
Nanywa supu, nyama natupa.
a)
Nyama
b)
Samaki
c)
Kivuli
d)
Muwa
8.
Kitendawili:
Nyoka pangoni.
a)
Mnyama
b)
Ulimi
c)
Mkono
d)
Asali
9.
Kiatu kizuri
a)
Kiliraruka
b)
Waliumia
10.
Koti zuri
a)
Alichinjwa
b)
Lilifuliwa
11.
Ni saa ngapi?
a)
Saa tano kamili
b)
Saa nne kamili
c)
Saa tatu kamili
d)
Saa sita kamili
12.
Andika kwa wingi:
Anakula chakula
a)
Wanakula chakula
b)
Wanakula vyakula
13.
Vitanda mia nne tisini na sita.
a)
496
b)
469
c)
400
d)
800
Reset
