Free Printable Worksheets
Font size
More settings
Tunatumia ______________________ kukusanya taka.
kifyekeo
reki
Tunatumia ___________________ kufagia darasa.
ufagio
baro
Amina hutupa taka ndani ya ________________.
pipa
darasa
Baba anafyeka akitumia ____________________
Ni vizuri kuweka mazingira yetu ____________ kila wakati.
masafi
safi
Andika vizuri: embej (a)
Andika vizuri: onod (a)
Andika vizuri: ofigau (a)
Mbu hueneza ugonjwa wa (a)
Mbu huishi kwenye (a) yenye maji iliyotupwa kwenye mazingira.