WorksheetsKiswahili
Total questions: 15
Worksheet time: 5mins
Kamilisha kwa amba-: Rinda _______ anavaa ni safi
ambao
ambayo
ambalo
ambacho
Jina gani liko katika ngeli ya U-I
mtume
maji
mwewe
mwembe
Kamilisha methali: Asiyekujua _________
hakujui
hakuthamini
hakuamini
hakujali
Tegua kitendawili: Halima wangu mwembamba ni fundi wa kuungaunga ______
Ufagio
sindano
kiberiti
sungura
Neno lipi si la adabu?
Nataka
Mjamazito
Kundradhi
Samahani
Nini wingi wa: Bata mdogo anaogelea kwenye bwawa.
Bata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.
Mabata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.
Bata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.
Mabata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.
Tumia -ngine: Nyumba _____ zitajengwa
nyingine
ingine
mingine
mengine
Upi si msamiati wa sebuleni?
takia
shubaka
chano
rafu
Kamilisha methali: Mwenda tezi na omo _________
hana ajualo
marejeo ngamani
huwa mwema
atakuunguza
Mjomba au shangazi yako anakuita ________ wake
umbu
mpwa
mkoi
binamu
Unapoenda kwenye msiba wa kifo, utawaambia waliofiliwa, "Makiwa!" nao watakujibu
Tunayo
Sawa
Asante
Poa
Mtu anayefanya kazi ya kujenga kwa matofali au mawe huita ___________
mjenzi
mwashi
msukaji
mwezekaji
Tumia -enye: Mwembe _____ maembe mabivu ni ule.
yenye
lenye
wenye
chenye
Lipi si jina lililoko katika ngeli ya I-ZI?
sakafu
samani
sahani
shavu
Mfalme huishi kwenye kasri, naye rais huishi kwenye ___________
ikulu
bunge
makavazi
mahakama
