wayground logo

Free Printable Worksheets

NEW

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Kiswahili

Total questions: 12

Worksheet time: 6mins

Name
Class
Date
1.

Chagua kisawe cha neno jela

a)

Mahakama

b)

Gereza

c)

Husuni

d)

Rumande

2.

Mtu anayeshukiwa kufanya uhalifu wowote huitwa?

a)

Mtuhumiwa

b)

Mwizi

c)

Mhalifu

d)

Mshtakiwa

3.

Mahali ambapo mshtakiwa huzuiliwa kesi yake ikiendelea kusikilizwa huitwaje?

a)

Mahakama

b)

Jela

c)

Rumande

d)

Seli

4.

Jina jingine la jaji

a)

Hakimu

b)

Kadhi

c)

Jela

d)

Daawa

5.

Huandika na kuweka nyaraka za mahakama.

a)

Karani wa mahakama

b)

Kiongozi wa mahakama

c)

Mshtakiwa

d)

Karani

6.

Mshukiwa anapokamatwa na polisi hutiwa_______mikononi

a)

Minyororo

b)

Kamba

c)

Pingu

d)

Jela

7.

Mtu aliyefungiwa rumande huitwa_________

a)

Mtuhumiwa

b)

Mshukiwa

c)

Wakili

d)

Mahabusu

8.

Hakimu wa kiislamu huitwa _______

a)

Kadhi

b)

Wakili

c)

Shehe

d)

Mohamed

9.

Kesi inapopigwa horomo ,yaani kusemekana isikilizwe siku nyingine huwa_____

a)

Imeahairishwa

b)

Imehairishwa

10.

Jina jingine la kesi ni _____

a)

Daawa

b)

Dawa

11.

Adhabu anayopewa mshtakiwa aliyepatikana na hatia yaweza kuwa

a)

Kufungwa jela

b)

Kuachiliwa huru

c)

Kutiwa mbaroni.

12.

Kizimba ni mahali ambapo____husimama

a)

Mshukiwa

b)

Mshtakiwa