wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Kiswahili-Nicole

Total questions: 20

Worksheet time: 2hrs 40mins

Name
Class
Date
1.

Huyu ni

a)

Simba

b)

paka

2.

Taja jina

a)

Pete

b)

kengele

3.

Hii ni nini?

a)

Nanasi

b)

Ndizi

4.

HIvi ni?

a)

vitabu

b)

viti

5.

Hiki ni ?

a)

Kitabu

b)

kisu

6.

Umeamkaje?

a)

Nimeamka salama

b)

Nimelala salama

c)

Nimeshinda vizuri

d)

Nimeamka tu

7.

Habari yako _________?

a)

Nzuri

b)

Mzuri

c)

Asante

d)

Poa

8.

Mama anafanya nini _________?

a)

Anakula

b)

Anacheza

c)

Anapika

d)

Anacheza

9.

Anafanya nini ________?

a)

Anakimbia

b)

Analala

c)

Anacheza

d)

Anatembea

10.

Jibu maamkuzi haya: Hujambo?

a)

Njema

b)

Sijambo

c)

Nzuri

d)

marahaba

11.

Ni maamkuzi gani tunawapa wazee?

a)

Jambo?

b)

Habari yako?

c)

Shikamoo?

d)

U hali gani?

12.

Wakati unapotaka kusaidiwa na mtu, unatumia neno gani la adabu kuomba?

a)

Tafadhali.

b)

Asante

c)

Bwana

d)

Bibi

13.

Nambari hii husomwaje kwa maneno? 27

(a)  

14.

Ndege anayefugwa nyumbani na hutupa mayai huitwaje

(a)  

15.

Hujambo?.....................................

a)

Sina la kuamba

b)

Sijambo

c)

shikamoo

d)

Hatujambo

16.

1.Shikamoo?...............................................................................

a)

Nzuri

b)

Marahaba

c)

Sijambo

d)

Vyema

17.

Andika kwa maneno

86

a)

Themanini na sita

b)

Thelathini na sita

c)

Thelathini na tisa

d)

Themanini na sita

18.

Andika kwa wingi:

mimi ni mwalimu

a)

Sisi ni walimu

b)

Mimi ni walimu

c)

Sisi ni walimu

d)

Mimi ni mwalimu

19.

Andika kwa wingi:

Mimi ni msichana

a)

Sisi ni wasichana

b)

Mimi ni wasichana

c)

Mimi ni msichana

d)

Sisi ni msichana

20.

Andika kwa wingi:

Yeye ni mwizi

a)

Wao ni wezi

b)

Hao ni waizi

c)

Hao ni wezi

d)

Wao ni waizi