NEW
Font size
WorksheetsDPC Youth Bible Challenge ( Luke 6-10)
Total questions: 15
Worksheet time: 8mins
what were the disciples doing which the Pharisees said was unlawful on the Sabbath?
Wanafunzi walikuwa wakifanya nini ambayo Mafarisayo walisema haikuwa halali siku ya Sabato?
Fishing / Uvuvi
Healing on the Sabbath / Uponyaji siku ya Sabato
Eating with sinners / Kula na wenye dhambi
Plucking heads of grain / kung'oa masuke ya nafaka
After Jesus went out to the mountain to pray all night, what did He do in the morning?
Baada ya Yesu kwenda mlimani kuomba usiku kucha, alifanya nini asubuhi?
He praised God / Alimsifu Mungu
He ate / Alikula
He healed a man with leprosy / Alimponya mtu mwenye ukoma
He chose 12 apostles / Alichagua mitume 12
Jesus said, “Blessed are you poor, for
Yesu alisema, “Heri ninyi mlio maskini, kwa maana
You shall have great riches / Utakuwa na utajiri mwingi
Yours is the kingdom of god / Ufalme wa mungu ni wako
The kingdoms of God are yours / Falme za Mungu ni zako
Yours is the kingdom of God / Ufalme wa Mungu ni wako
When Jesus entered the city of Capernaum, who was sick and ready to die?
Wakati Yesu aliingia mji wa Kapernaumu, ni nani alikuwa mgonjwa na alikuwa tayari kufa?
A centurion''s servant / Mtumishi wa akida
Samaritan woman / Mwanamke Msamaria
Lazarus / Lazaro
A and C / A na C
What did Jesus say he had not found, not even in Israel (based on centurion scenario) ?
Je! Yesu alisema hakuwa amepata nini, hata katika Israeli?
friend such as this / rafiki kama huyu
SUCH FAITH / IMANI KAMA HIYO
One so humble and selfless / Mtu mnyenyekevu na asiye na ubinafsi
Such great faith / Imani kubwa kama hiyo
Jesus said that there is not a greater prophet than John the Baptist. Who did he say was greater than John?
Yesu alisema kwamba hakuna nabii mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Ni nani alisema ni mkubwa kuliko Yohana?
Young children / Watoto wadogo
Those who were least in the kingdom of God / Wale ambao walikuwa wadogo katika ufalme wa Mungu
All who believed in Jesus / Wote waliomwamini Yesu
sons of God / wana wa Mungu
Which of the following is not in Luke chapter 8?
Je, ni kipi kifuatacho hakipo katika kitabu cha Luka sura ya 8 ?
Parable of the Sower / Mfano wa Mpanzi
Parable of the lamp / Taa chini ya Mtungi
Raising of the Jairus's daughter / Kufufuka kwa binti wa yairo
The two house builders / Wajenzi wawili wa nyumba
Where did Jesus heal the man with demons?
Yesu alimponya wapi yule mtu mwenye pepo?
Gerase / Gerasa
Dpc
Galilee / Galilaya
Jericho / Yeriko
Meaning of the story "A Lamp under a Bowl" what does Jesus want to tell?
Maana ya hadithi ''Taa chini ya Mtungi'' Je! Yesu anataka kusema nini ?
To listen to the Word of God / Kusikiliza Neno la Mungu
To be witnesses / Kuwa mashahidi
To have faith / Kuwa na imani
To forgive / kusamehe
what power did Jesus give His twelve disciples besides the power and authority to cure diseases?
Ni nguvu gani nyingine Yesu aliwapa wanafunzi wake kumi na wawili baada ya kuwapa nguvu na mamlaka ya kuponya magonjwa ?
Power and authority to raise the dead / Nguvu na mamlaka ya kufufua wafu
Power and authority to change stones to bread / Nguvu na mamlaka ya kudadilisha mawe kuwa mkate
Power and authority to make the sun stand still / Nguvu na mamlaka ya kulifanya jua lisimame
Power and authority over all demons / Nguvu na mamlaka juu ya pepo wote
who was perplexed when he heard of all that was done by Jesus?
Ni nani aliyefadhaika aliposikia yote yaliyofanywa na Yesu?
Awal / Awali
Pilate / Pilato
John / Yohana
Herod / Herode
what happened to Jesus’ robe when Moses and Elijah talked with Him on the mountain?
Nini kilitokea kwa Joho la Yesu wakati Musa na Eliya wakizungumza naye juu ya mlima?
It became white and glistening / Ikawa nyeupe na kung'aa
It became gold and shining / Ikawa dhahabu na kuangaza
It became bright shining as the sun / Iliangaza kung'aa kama jua
It became as the bright morning star / Ikawa kama nyota ya asubuhi
who sat at Jesus’ feet and heard His word in Martha’s house?
Ni nani aliyeketi miguuni pa Yesu na Kusikia neno lake katika nyumba ya Martha ?
Martha's sister, Mary / Dada wa Martha, Maria
Jesus’ mother, Mary / Mama wa Yesu, Mariamu
Mary Magdalene / Maria Magdalena
James’ mother, Mary / Mama wa James, Maria
How many men did the Lord appoint and send out two by two before His face into every city and place where He Himself was about to go?
Ni watu wangapi Bwana aliwateua na kuwatuma wawili wawili mbele ya uso wake katika kila mji na mahali ambapo yeye mwenyewe alikuwa karibu kwenda?
Eighty / Themanini
Ninety / Tisini
One hundred / Mia moja
Seventy / Sabini
what city does Jesus say will be brought down to Hades?
Ni mji gani Yesu anasema utashushwa kuzimu?
Capernaum / Kapernaumu
Bethsaida
Chorazin / Korazini
Tyre / Tiro
