wayground logo

Free Printable Worksheets

NEW

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

SIKU NJEMA

Total questions: 11

Worksheet time: 33mins

Name
Class
Date
1.

Mhusika mkuu katika hadithi ya Siku Njema alikuwa na wanuna wangapi?

a)

Wawili

b)

Wanne

c)

Sufuri

d)

Mmoja

2.

Chagua neno baki.

a)

zani

b)

aula

c)

-ema

d)

bora

3.

Mama yake Msanifu Kombo alikuwa na wanuna wangapi?

a)

Mmoja

b)

Watatu

c)

Wawili

d)

Kumi na wawili

4.

Je, Msanifu Kombo alikosa sifa gani kati ya hizi?

a)

papara

b)

upole

c)

bidii

d)

huruma

5.

Chagua maelezo yaliyo sahihi

a)

Mamaye Mswahili alikuwa mke wa mwisho katika famila ya Makame

b)

Baada ya kifo cha mumewe, Zainabu aliamua kurudi alikozaliwa na hakuolewa tena.

c)

Ndoa kati ya Juma Mkosi na Zainabu makame aliharibika kwa sababu ya dini

d)

Bibi wa Kongowea alikuwa katika ndoa ya mitara

6.

Taja jina rasmi la mhusika mkuu

a)

Kongowea Mswahili

b)

Selemani Mapunda

c)

Vumilia Binti Abdalla

d)

Msanifu Kombo

7.

Kati ya wahusika hawa, ni yupi aliyewahi kumnyanganya Mswahili nguo alipokuwa akishtaki uchafu?

a)

Amina

b)

Vumilia

c)

Selemani

d)

MwanaSaumu

8.

Bi. Rahma ndiye aliyepanga mpango na mwanaSaumu ili kijana mwingine aweze kurithi mali ya Mswahili. Je, Kijana huyu aipata mashaka yapi?

a)

Kupotea njia

b)

alipatwa na mauko

c)

Aliibiwa pesa zake zote

d)

Alipata ajali akalazwa hospitalini kwa muda mrefu.

9.

Chagua jibu sahihi

a)

MwanaSaumu alikuwa mke mwenza wa Zainabu makame

b)

Mwanasaumu alikuwa mkazahau wa mjomba Salim

c)

Kongowea mswahili hakuwahi kumwona babu yake Makame wa Makame

d)

Kabla ya kifo cha mamaye, Kongowea aliishi maisha ya raha na starehe.

10.

Chagua msamiati usiombatana na Ushairi

a)

rukwama

b)

Diwani

c)

Mghani

d)

inkisari

11.

Chagua madai ya kweli kulingana na hadithi ya Siku Njema

a)

Babu yake Kongowea alikuwa na wake wapatao ishirini.

b)

Kabla ya kifo cha babu yake, mji huo ulikuwa salama na wenye amani na ushirikina

c)

Baada ya kifo cha babu yake Kongowea, Nyanya yake aliweza kuolewa tena na kuwazaa Zainabu, Salim na Kitwana

d)

Ndoa ya babu yake Kongowea ilikuwa ya Mitara