wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Maswali mseto

Total questions: 43

Worksheet time: 2hrs 1mins

Name
Class
Date
1.

Hospitali ndogo huitwa?

4 lines
2.

Machela ni?

4 lines
3.

Miereka ni nini?

4 lines
4.

Mpira wa magongo ni nini?

4 lines
5.

Chawa hukaa wapi?

4 lines
6.

Malale husababishwa na?

4 lines
7.

Mkunga ni nani?

4 lines
8.

Rufani/rufaa ni nini?

4 lines
9.

Utaya ni nini?

4 lines
10.

Chaka ni nini?

4 lines
11.

Timazi hutumiwa kufanya nini?

4 lines
12.

Utotole ni nini?

4 lines
13.

Daluga hutumiwa kufanya nini?

4 lines
14.

Kishaufu huvaliwa wapi?

4 lines
15.

Mathalani ya nambari witiri ni?

4 lines
16.

Bohari ni wapi?

4 lines
17.

Sogora ni nani?

4 lines
18.

Nyamawa ni kikembe cha?

4 lines
19.

Makao ya kiwavi ni?

4 lines
20.

Tarishi pia huitwa ?

4 lines
21.

Utotole pia huitwa ?

4 lines
22.

Dia/arshi ni malipo kwa sababu ya kufanya nini?

4 lines
23.

Mkopo usiotozwa riba?

4 lines
24.

Mkoloni pia huitwa?

4 lines
25.

Mlowezi pia huitwa ??

4 lines
26.

Marupurupu ni nini?

4 lines
27.

Kamilisha: Mtu hujikuna ________.

4 lines
28.

Kutia mrija ni kufanya nini?

4 lines
29.

Kamilisha:Mchama ago hanyeli__________

4 lines
30.

Sheria za ushairi huitwa?

4 lines
31.

Kikembe cha chungu ni ?

4 lines
32.

Kikembe cha samaki ni?

4 lines
33.

Kikembe cha mdudu ni?

4 lines
34.

Kisawe cha aliona soni?

4 lines
35.

Mrefu kama? ;except from mlingoti.

4 lines
36.

Kwate ni nini?

4 lines
37.

Fumba ni nini?

4 lines
38.

Mjusi ni nini?

4 lines
39.

Kolea hutumiwa?

4 lines
40.

Jibu ni nini?

4 lines
41.

Usaha ni nini?

4 lines
42.

Gange/amali pia huitwa?

4 lines
43.

Pole hutumiwa wakati gani?

4 lines