wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Kiswahili

Total questions: 20

Worksheet time: 10mins

Name
Class
Date
1.

Huyu ni

a)

Simba

b)

paka

2.

Taja jina

a)

Pete

b)

kengele

3.

Hii ni nini?

a)

Nanasi

b)

Ndizi

4.

Tambua picha

a)

kiatu

b)

kiti

5.

Tambua picha

a)

msichana

b)

mvulana

6.

Taja jina

a)

Kijiko

b)

kikombe

7.

HIvi ni?

a)

vitabu

b)

viti

8.

Hawa ni

a)

wavulana

b)

wasichana

9.

Hii ni ?

a)

Kitabu

b)

kalamu

10.

Hiki ni ?

a)

Kitabu

b)

kisu

11.

Hizi ni haki za watoto. Ni gani sio?

a)

Haki ya elimu

b)

Haki ya kucheza

c)

Haki ya kulia

d)

Haki ya malezi bora

12.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha majini?

a)

Ndege

b)

Meli

c)

Motaboti

d)

Feri

13.

NI chombo kipi cha usafiri si cha hewani?

a)

Treni

b)

Parachuti

c)

Ndege

d)

Helikopta

14.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha ardhini?

a)

Treni

b)

Pikipiki

c)

feri

d)

baiskeli

15.

Ni neno lipi ambalo halina sauti p?

a)

Mpira

b)

pete

c)

vuvuzela

d)

papai

16.

Ninatumiwa na wanafunzi kuketi na kuwekelea vitabu. Mimi ni nani?

a)

Ofisi

b)

Dawati

c)

Maktaba

d)

basi

17.

Ninatumika kufuta ubao. Mimi ni nani?

a)

Kichongeo

b)

Kifutio

c)

Kalamu

18.

Tenganisha silabi

dirisha

(a)  

19.

Hujambo?

(a)  

20.

Ukisalimiwa "Habari yako?" Utasemaje?

(a)