WorksheetsFamilia
Total questions: 10
Worksheet time: 5mins
Heri walio maskini wa roho?
Maana watamuona Mungu
Maana uzima wa milele ni wao
Maana ufalme wa mbinguni ni wao
Maana watarithi nchi
Heri wenye moyo safi?
Maana hao watarithi nchi
Maana hao watamwona Mungu
Maana watapata uzima wamilele
Maana watafika mbali
Heri wenye rehema?
Maana hao watapata rehema
Maana watapata uzima
Maana hao watapata rehema
Maana watapata fadhila
Maana watafika mbinguni
Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi?;
Mtawekwa huru
mtafunguliwa
Mtapewa
Mtakabidhiwa
Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni ?.
mbwa-mwitu wakali
Ni wanyama
Ni maadui wakubwa
Ni mashetani
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ?
Nyumba Yangu
Moyoni mwangu
ufalme wa mbinguni
Hekaluni mwangu
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami ?
Nitawasadia
Nitaibeba
nitawapumzisha
Nitaichukua
BWANA ndiye mchungaji wangu, .....?
Nimuogope nani
Sitapungukiwa na kitu.
Uniongoza
Unilinda
Onjeni muone?
Yakua Mungu mzuri
Yakua bwana yu Mwema
Yu mzuri sana
Anatupenda
Neno Moja nimelitaka kwa Bwana?
Nalo ndilo nitakalo litafuata
Nalo ndilo nitakalo lifanya
Nitakalo lifuata
Litakalo Niongoza
