WorksheetsKISWAHILI KIDATO CHA KWANZA.
Total questions: 37
Worksheet time: 19mins
ANDIKA MAJINA YAFUATAYO KATIKA WINGI:
kinyonga -
(a)
mkeka -
(a)
cherehani -
(a)
jembe -
(a)
dereva -
(a)
meza -
(a)
ubavu -
(a)
marashi -
(a)
kuku -
(a)
kuimba -
(a)
miwani -
(a)
wali -
(a)
ANDIKA MAJINA YAFUATAYO KATIKA UMOJA:
mikunga -
(a)
ndevu -
(a)
malezi -
(a)
mashambani -
(a)
mishale -
(a)
uyoga -
(a)
vyambo -
(a)
nyumba -
(a)
wajomba -
(a)
mate -
(a)
kuosha -
(a)
nyute
(a)
ONYESHA NGELI ZA NOMINO KATIKA SENTENSI ZIFUATAZO.
FUATA MFANO UFUATAO:
Mwalimu Abu anaandika a - wa
(a)
Nyoka analala
(a)
Chambo kimeliwa
(a)
Mkebe utapotea
(a)
Sikio la kufa halisikii dawa
(a)
Kalamu ikipotea itatafutwa
(a)
Wembe umevunjika
(a)
Kusoma kunapendeza
(a)
Miwani imevunjika
(a)
Maisha yanafurahisha
(a)
Wali unapakuliwa
(a)
Ugonjwa unasumbua
(a)
Msituni ni hatari
(a)
