wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

2 YOHANA NA 3 YOHANA.

Total questions: 21

Worksheet time: 14mins

Name
Class
Date
1.

Nini maana ya Waraka wa 2 Yohana?

a)

Waraka wa 2 Yohana ni barua inayosisitiza umuhimu wa ukweli na upendo katika maisha ya Kikristo.

b)

Waraka wa 2 Yohana ni barua ya kuhamasisha vita vya kijeshi.

c)

Waraka wa 2 Yohana unazungumzia sheria za kidini.

d)

Waraka wa 2 Yohana ni kitabu cha historia ya Kanisa.

2.

Msingi wa upendo unajumuisha nini katika mafundisho ya Yohana?

a)

Msingi wa upendo unajumuisha upendo wa wanadamu kwa vitu.

b)

Msingi wa upendo unajumuisha upendo wa mali na utajiri.

c)

Msingi wa upendo unajumuisha upendo wa wanadamu kwa wanyama.

d)

Msingi wa upendo unajumuisha upendo wa Mungu, upendo wa wanadamu kwa Mungu, na upendo wa wanadamu kwa wenzao.

3.

Ni akina nani wapinga Kristo kulingana na Waraka wa 2 Yohana?

a)

wasiokiri ya kuwa Yesu yuaja katika mwili.

b)

Yule anayekataa kuwa Yesu Kristo alifufuka kutoka kwa wafu.

c)

Yule anayekataa kuwa Yesu Kristo ni Mungu.

d)

Yule anayekataa kuwa Yesu Kristo alikufa msalabani.

4.

Ni nini kinachofanya Waraka wa 3 Yohana kuwa wa kipekee katika mafundisho ya Kikristo?

a)

Waraka wa 3 Yohana unatoa mwanga kuhusu uhusiano wa waumini na viongozi wao.

b)

Waraka wa 3 Yohana unazungumzia historia ya kanisa la kwanza.

c)

Waraka wa 3 Yohana unasisitiza umuhimu wa ibada ya umma.

d)

Waraka wa 3 Yohana unatoa maelekezo kuhusu sheria za kidini.

5.

Je, Waraka wa 3 Yohana unatoa mwanga gani kuhusu uhusiano wa waumini na wageni?

a)

Waumini wanapaswa kuwakaribisha wageni kwa upendo na ukarimu.

b)

Waumini wanapaswa kujitenga na wageni ili kuimarisha imani zao.

c)

Waumini wanapaswa kuwachukia wageni.

d)

Waumini wanapaswa kuwasaidia wageni kwa mali zao pekee.

6.

mwandishi wa nyaraka za Yohana wa 2 na 3 anamejitamusha kama nani?

a)

mjumbe wa Kristo

b)

Mzee

c)

shuhuda

d)

Mtume

7.

waraka wa 3 wa Yohana ni waraka kwa watu wote alioandikiwa nani?

a)

kanisa utawanyikoni.

b)

Gayo

c)

Diotrefe na Demetrio

d)

kila asomaye apate ufahamu.

8.

"Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo". maneno haya yamenukuliwa toka kitabu gani ,sura na mstari.

( mf. 1 Antiokia 9:7)

(a)  

9.

Amri ambayo si mpya anayoandikiwa mama iliyokuwepo tangu mwanzo ni ipi?

a)

kulishika jina na Bwana

b)

kuzishika amri za Baba.

c)

kwamba tupendane.

d)

tuwajali wageni.

10.

Na huu ndio upendo..............................................

(kwa mujibu wa 2 Yohana)

a)

kuwajali wengine kama nafsi zetu.

b)

tuenende kwa kuzishika amri zake.

c)

kuwatanguliza wenzetu kwa unyenyekevu.

d)

kupenda sio kwa neno bali kwa tendo.

11.

Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda , bali mpokee thawabu (a)  

12.

mtu huyu hana Mungu.

(zingatia 2 yohana )

a)

asiyewapenda wa kwao

b)

apitaye cheo na asidumu katika mafundisho

c)

asiyewapokea wageni

d)

akalibishaye watu wasiotoa mafundisho ya kweli.

13.

Mtu akija kwenu, naye haleti mafundisho haya, msimkaribishe nyumbani mwenu wala msimpe...................................

a)

nafasi

b)

salamu

c)

kitu chochote

d)

yote ni sahihi.

14.

kila mtu akija kwenu na haleti mafundisho hayo msimkaribishe kwenu wala msimpe (a)  

15.

kwa mujibu wa 3 Yohana, kitu gani kinampa furaha zaiidi mzee?

a)

kuona kazi inasonga mbele.

b)

mafanikio ya Gayo

c)

kuona kanisa linaendelea vizuri

d)

kusikia kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli

16.

katika waraka wa tatu kwa watu wote Mzee ni nani (a)  

17.

Gayo alikuwa nani, katika waraka wa tatu wa Yohana..................................

a)

kiongozi mwaminifu wa kanisa

b)

mshirika wa kanisa

c)

rafiki wa mzee

d)

mkristo kwelikweli asiye na mawaa.

18.

Gayo alikuwa anafanya kazi kwa uaminifu sana na moja ya kazi zilizoandikwa katika 3 Yohana ni pamoja na....................................................

(chagua jibu sahihi zaidi)

a)

kumsikiliza mzee

b)

kuwatunza vizuri na kuwakaribisha wageni

c)

kuhubiri injili ya kweli

d)

kuinjilisha na kushuhudia

19.

Diotrefe na Dimetrio wanasifa hizo isipokuwa.................

a)

kunena maneno ya Upuuzi juu ya Mzee.

b)

kutopokea Wageni wanaotumwa na Mzee

c)

kupenda kuwa wakwanza na kuwakataza wengine kuwapokea hao ndugu

d)

Ni mtu mwenye ushuhuda mwema na kulijenga kanisa katika kwelii

20.

mpenzi, usiuge ubaya bali (a)  

21.

Yeye atendaye wema ni wa Mungu, bali atendaye mabaya (a)