Font size
S
M
L
XL
WorksheetsWafanyakazi mbalimbali
Total questions: 20
Worksheet time: 15mins
Name
Class
Date
1.
Anayeendesha ndege huitwa
a)
rubani
b)
mkulima
c)
mwalimu
2.
Mimi hutibu wagonjwa. mimi ni
a)
mkulima
b)
daktari
c)
mwalimu
d)
dereva
3.
mimi hupika chakula. mimi ni
(a)
4.
mimi hufundisha wanafunzi. Mimi ni
(a)
5.
Ninakuza mimea shambani. Mimi ni
a)
mkulima
b)
dereva
c)
mpishi
d)
mwalimu
6.
Ninajenga nyumba.Mimi ni
a)
mwashi
b)
mhunzi
c)
daktari
7.
Ninaendesha gari
(a)
8.
Ninanyoa nywele. Mimi ni nani?
a)
msusi
b)
kinyozi
c)
mwashi
d)
muuzaji
9.
Anayesuka nywele huitwa
(a)
10.
Anayeuza bidhaa ni
a)
muuzaji
b)
mnunuzi
11.
Anayenunua bidhaa ni
(a)
12.
Anayetengeneza magari huitwa
a)
mekanika
b)
dereva
13.
Anayedumisha usalama wetu ni
a)
polisi
b)
mekanika
14.
Anayeimba wimbo ni
a)
mwanamuziki
b)
msanii
c)
mchezaji
15.
mchezaji wa soka ni
a)
mwanasoka
b)
mwanakandanda
c)
msanii
16.
baruni
(a)
17.
limwamu
(a)
18.
shimwa
(a)
19.
taridak
(a)
20.
Anayelinda lango huitwa
a)
bawabu
b)
polisi
c)
mwalimu
d)
daktari
Reset
