Font size
WorksheetsMathematics
Total questions: 86
Worksheet time: 2hrs 38mins
Which one of the following numbers is fifty three thousand eight hundred and eighty eight?
53888
53818
5388
53808
What is the place value of digit 8 in the number 387421?
Hundreds of thousands.
Hundreds.
Thousands.
Tens of thousands.
What is the sum of the G.C.D and L.C.M of 6, 9 and 18?
18
3
21
15
Round off the sum of 4369 and 441 to the nearest thousands.
4810
4900
5000
4800
Express o.67 as a percentage.
0.67%
67%
6.7%
0.067%
Find the next two numbers in the sequence.
2, 3, 5, 7, ___, ___
9, 11
11, 13
13, 15
9, 10
A square garden has an area of 256 m2 . Find the perimeter of the garden.
16 m
32 m
64 m
128 m
What is the total value of digit 7 in the number 3789?
70
700
7000
3700
Jeff bought 60 oranges from a retail market. He later found out that 51 of them were rotten. How many oranges were good?
12
48
65
55
The rectangle below has an area of 300 cm2. Its length measures 20 cm. Find its perimeter.
15 cm
30 cm
70 cm
130 cm
How many edges has a cube got?
12
8
16
What is the model of the following numbers
4,5,3,3,4,2,7,6,5,4,4 and 1
3
4
5
Huyu ni
Simba
paka
Taja jina
Pete
kengele
Hii ni nini?
Nanasi
Ndizi
Tambua picha
msichana
mvulana
Taja jina
Kijiko
kikombe
HIvi ni?
vitabu
viti
Hawa ni
wavulana
wasichana
Hii ni ?
Kitabu
kalamu
Hiki ni ?
Kitabu
kisu
Hizi ni haki za watoto. Ni gani sio?
Haki ya elimu
Haki ya kucheza
Haki ya kulia
Haki ya malezi bora
Ni chombo kipi cha usafiri si cha majini?
Ndege
Meli
Motaboti
Feri
NI chombo kipi cha usafiri si cha hewani?
Treni
Parachuti
Ndege
Helikopta
Ni chombo kipi cha usafiri si cha ardhini?
Treni
Pikipiki
feri
baiskeli
Ni neno lipi ambalo halina sauti p?
Mpira
pete
vuvuzela
papai
Ninatumiwa na wanafunzi kuketi na kuwekelea vitabu. Mimi ni nani?
Ofisi
Dawati
Maktaba
basi
Ninatumika kufuta ubao. Mimi ni nani?
Kichongeo
Kifutio
Kalamu
Tenganisha silabi
dirisha
(a)
Hujambo?
(a)
Ukisalimiwa "Habari yako?" Utasemaje?
(a)
translate this into kiswahili:
it is five in the morning
(a)
Kanusha hi sentensi
change this sentence into negative:
nime soma
siku soma
nili soma
ame soma
CHUI
huyu ni mnyama wa (a)
Picha hii ina mmea mchanga. Je, mmea mchanga huitwaje?
mchi
mche
mimea
mparachichi
Andika sentensi ifuatayo kwa umoja?
Mihogo yao imeiva.
mhogo wake umeiva
muhogo wake umeiva
muhogo wao umeiva
muhogo wangu umeiva
Mmea unaozaa kahawa huitwa_______
mche
kahawa
mbuni
mgomba
Ndizi huwa na utamu mwingi. Je, mmea unaozaa ndizi huitwaje?
mndizi
mpera
mpunga
mgomba
Mmea huu huzaa maembe. Wingi wake ni miembe. Umoja wa miembe ni __________
embe
myembe
mwembe
muhogo
Mmea huu huitwa mpunga. Je, unazaa zao gani?
wali
mchele
parachichi
mahindi
Mtu anayeimba mashairi huitwa_____
mshororo
manju
malenga
mghani
Kipofu, mtume, chura, kipepeo na bata ni nomino zinazopatikana katika ngeli ya ________
KI-VI
A-WA
LI-YA
U-I
Nomino darasa, magari, goti, tumbo, daftari na madawati hupatikana katika ngeli gani?
LI-YA
KI-VI
A-WA
U-I
Mshororo unaorudiwarudiwa katika shairi huitwaje?
malenga
kibwagizo
shairi
tarbia
________ni shairi la mishororo minne katika kila ubeti.
tathmina
tarbia
tathlitha
tathnia
Chombo kinachotumiwa kuonyesha pande za dunia huitwa__________
jua
dira
kochi
jokofu
Jua huchomoza kutoka upande wa ___________
kaskazini
kusini
magharibi
mashariki
Bendera ya nchi yetu ina rangi nne. Je, ni rangi gani husimamia ardhi?
nyeusi
nyekundu
kijani kibichi
nyeupe
Maneno yafuatayo huitwaje?
papa-baba
pipi-bibi
koti -goti
kinyume
vitate
visawe
kielezi
Neno lililopigiwa mstari ni mfano wa neno gani ya Kiswahili?
Mayai matano yamevunjika.
kielezi
kivumishi
nomino
kitenzi
Hii ni suruali ya miguu mifupi ambayo hujulikana kama kaptura au _____
kocho
bombo
kamisi
sare
Mavazi haya huvaliwa na wachezaji. Je , yanaitwaje?
sare
jezi
chupi
daluga
Maneno yafuatayo huitwaje?
Ebo!, Lo!, Masalaale!, Aha!, Kumbe!, Huree!, Alhamdulillahi!, Hoyee!
viwakilishi
vihusishi
vihisishi
vielezi
Jaza pengo kwa kutumia kiunganishi kifaacho.
Hakunywa chai _______uji.
lakini
wala
na
pia
Ni kipi miongoni mwa vifuatavyo kisichotumika jikoni?
Chano
Fyekeo
Buli
Bilauri
Jua huchomoza upande wa __________.
Magharibi
Kaskazini
Kusini
Mashariki
Daftari la kuandikia lina umbo gani?
Mche
Kopa
Mstatili
Mraba
Mtoto wa mjukuu wangu nitamwitaje?
Mpwa
kitukuu
Kilembwe
Kinying'inya
Mnyama wa msituni anayefanana na nguruwe ni ________
nyati
kifaru
ngiri
swara
Anayemsaidia daktari hospitalini kwa kuwapa wagonjwa dawa na kuhakikisha wamekula anaitwa _____________.
tabibu
mchuuzi
msusi
mwuguzi
Ni nini hutumika pamoja na kinu kutwangia vitu jikoni?
Mche
Mbuzi
Mchi
Buli
Ni vazi lipi huvaliwa na wanawake pekee?
Kanchiri
Suruali
Koti
Kizibao
Rangi ya juu ya upinde wa mvua ni __________ .
machungwa
samawati
nyekundu
kijani
Yupi kati ya wanyama wafuatao ni tofauti na wengine?
Sokwe
Kima
Swara
Tumbiri
Samaki ni kwa maji kama vile ndege ni kwa ___________ .
kombe
kizimba
mzinga
kiota
- Kati ya shughuli hizi, ni ipi huja ya kwanza?
Kupanda
Kulima
Kupalilia
Kuvuna
Vivumishi hueleza zaidi kuhusu _______
kitenzi
nomino
kiunganishi
kihisishi
Viatu vizee vina matope - Neno lipi ni kivumishi
viatu
vizee
vina
matope
Tambua kivumishi:
Pahali pengi pameharibika.
Pahali
pengi
pameharibika
hakuna jubu sahihi
Tambua kivumishi:
Kalamu hiyo ni mbaya.
Kalamu
hiyo
ni
mbaya
Tambua kivumishi cha pekee katika sentensi. Chakula kingine kimepikwa na mama yangu.
Yangu
Kingine
Chakula
Kimepikwa
Kivumishi ni nini?
Neno linalotoa habari zaidi kuhusu nomino
Neno lenye maana sawa na nomino.
Majina ya vitendo vya watu
Neno linalojisimamia.
Kuwa mwangalifu, lau sivyo utachomwa na chai __________
kubwa
ndogo
baridi
moto
Sharubati ya limau ni tamu. Hutiwa barafu ili kiwe kinywaji ______
ndefu
moto
baridi
tulivu
Tumia kivumishi kifaacho kujaza pengo
Ndimu huwa ____________
tamu
kali
kakasi
chungu
Mtoto mwoga hulia anapomwona mende.
Mwoga
mtoto
hulia
Mende
Tambua kivumishi katika sentensi ifuatayo:
Uso wenye huzuni unatisha sana
Uso
wenye
sana
unatisha
Pink in KiSwahili is:
buluu
tatu
waridi
rosado
Jina lako nani means:
(a)
Kamilisha methali ifuatayo:
Usipoziba ufa utajenga ______
dirisha
Ufa
Uta
Ukuta
Tegua kitendawili:
Daima yeye hunifuata niendapo
Rafiki yangu
Kivuli
Mwangaza
Upepo
Fanana kama ______
Pacha
Marafiki
Mama na bintiye
Shilingi kwa ya pili.
Nahau gani ina maana ya "kupata taabu"?
Ng'oa nanga
Kula mwata
Piga chafya
kata kamba
Ala hii ya muziki iliyo kushoto ni______
Marimba
Zeze
Kayamba
Gitaa
Ugonjwa unaosabishwa na vidudu vya konokono unaomfanya mgonjwa akojoe damu ni _______
Malaria
Kifafa
Kipindupindu
Kichocho
Jina lipi haliko katika ngeli ya LI-YA
majiko
makochi
marubani
marinda
