wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Mathematics

Total questions: 86

Worksheet time: 2hrs 38mins

Name
Class
Date
1.

Which one of the following numbers is fifty three thousand eight hundred and eighty eight?

a)

53888

b)

53818

c)

5388

d)

53808

2.

What is the place value of digit 8 in the number 387421?

a)

Hundreds of thousands.

b)

Hundreds.

c)

Thousands.

d)

Tens of thousands.

3.

What is the sum of the G.C.D and L.C.M of 6, 9 and 18?

a)

18

b)

3

c)

21

d)

15

4.

Round off the sum of 4369 and 441 to the nearest thousands.

a)

4810

b)

4900

c)

5000

d)

4800

5.

Express o.67 as a percentage.

a)

0.67%

b)

67%

c)

6.7%

d)

0.067%

6.

Find the next two numbers in the sequence.

2, 3, 5, 7, ___, ___

a)

9, 11

b)

11, 13

c)

13, 15

d)

9, 10

7.

A square garden has an area of 256 m2 . Find the perimeter of the garden.

a)

16 m

b)

32 m

c)

64 m

d)

128 m

8.

What is the total value of digit 7 in the number 3789?

a)

70

b)

700

c)

7000

d)

3700

9.

Jeff bought 60 oranges from a retail market. He later found out that  15\frac{1}{5}  of them were rotten. How many oranges were good?

a)

12

b)

48

c)

65

d)

55

10.

The rectangle below has an area of 300 cm2. Its length measures 20 cm. Find its perimeter.

a)

15 cm

b)

30 cm

c)

70 cm

d)

130 cm

11.

How many edges has a cube got?

a)

12

b)

8

c)

16

12.

What is the model of the following numbers

4,5,3,3,4,2,7,6,5,4,4 and 1

a)

3

b)

4

c)

5

13.

Huyu ni

a)

Simba

b)

paka

14.

Taja jina

a)

Pete

b)

kengele

15.

Hii ni nini?

a)

Nanasi

b)

Ndizi

16.

Tambua picha

a)

msichana

b)

mvulana

17.

Taja jina

a)

Kijiko

b)

kikombe

18.

HIvi ni?

a)

vitabu

b)

viti

19.

Hawa ni

a)

wavulana

b)

wasichana

20.

Hii ni ?

a)

Kitabu

b)

kalamu

21.

Hiki ni ?

a)

Kitabu

b)

kisu

22.

Hizi ni haki za watoto. Ni gani sio?

a)

Haki ya elimu

b)

Haki ya kucheza

c)

Haki ya kulia

d)

Haki ya malezi bora

23.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha majini?

a)

Ndege

b)

Meli

c)

Motaboti

d)

Feri

24.

NI chombo kipi cha usafiri si cha hewani?

a)

Treni

b)

Parachuti

c)

Ndege

d)

Helikopta

25.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha ardhini?

a)

Treni

b)

Pikipiki

c)

feri

d)

baiskeli

26.

Ni neno lipi ambalo halina sauti p?

a)

Mpira

b)

pete

c)

vuvuzela

d)

papai

27.

Ninatumiwa na wanafunzi kuketi na kuwekelea vitabu. Mimi ni nani?

a)

Ofisi

b)

Dawati

c)

Maktaba

d)

basi

28.

Ninatumika kufuta ubao. Mimi ni nani?

a)

Kichongeo

b)

Kifutio

c)

Kalamu

29.

Tenganisha silabi

dirisha

(a)  

30.

Hujambo?

(a)  

31.

Ukisalimiwa "Habari yako?" Utasemaje?

(a)  

32.

translate this into kiswahili:

it is five in the morning

(a)  

33.

Kanusha hi sentensi

change this sentence into negative:

nime soma

a)

siku soma

b)

nili soma

c)

ame soma

34.

CHUI

huyu ni mnyama wa (a)  

35.

Picha hii ina mmea mchanga. Je, mmea mchanga huitwaje?

a)

mchi

b)

mche

c)

mimea

d)

mparachichi

36.

Andika sentensi ifuatayo kwa umoja?

Mihogo yao imeiva.

a)

mhogo wake umeiva

b)

muhogo wake umeiva

c)

muhogo wao umeiva

d)

muhogo wangu umeiva

37.

Mmea unaozaa kahawa huitwa_______

a)

mche

b)

kahawa

c)

mbuni

d)

mgomba

38.

Ndizi huwa na utamu mwingi. Je, mmea unaozaa ndizi huitwaje?

a)

mndizi

b)

mpera

c)

mpunga

d)

mgomba

39.

Mmea huu huzaa maembe. Wingi wake ni miembe. Umoja wa miembe ni __________

a)

embe

b)

myembe

c)

mwembe

d)

muhogo

40.

Mmea huu huitwa mpunga. Je, unazaa zao gani?

a)

wali

b)

mchele

c)

parachichi

d)

mahindi

41.

Mtu anayeimba mashairi huitwa_____

a)

mshororo

b)

manju

c)

malenga

d)

mghani

42.

Kipofu, mtume, chura, kipepeo na bata ni nomino zinazopatikana katika ngeli ya ________

a)

KI-VI

b)

A-WA

c)

LI-YA

d)

U-I

43.

Nomino darasa, magari, goti, tumbo, daftari na madawati hupatikana katika ngeli gani?

a)

LI-YA

b)

KI-VI

c)

A-WA

d)

U-I

44.

Mshororo unaorudiwarudiwa katika shairi huitwaje?

a)

malenga

b)

kibwagizo

c)

shairi

d)

tarbia

45.

________ni shairi la mishororo minne katika kila ubeti.

a)

tathmina

b)

tarbia

c)

tathlitha

d)

tathnia

46.

Chombo kinachotumiwa kuonyesha pande za dunia huitwa__________

a)

jua

b)

dira

c)

kochi

d)

jokofu

47.

Jua huchomoza kutoka upande wa ___________

a)

kaskazini

b)

kusini

c)

magharibi

d)

mashariki

48.

Bendera ya nchi yetu ina rangi nne. Je, ni rangi gani husimamia ardhi?

a)

nyeusi

b)

nyekundu

c)

kijani kibichi

d)

nyeupe

49.

Maneno yafuatayo huitwaje?

papa-baba

pipi-bibi

koti -goti

a)

kinyume

b)

vitate

c)

visawe

d)

kielezi

50.

Neno lililopigiwa mstari ni mfano wa neno gani ya Kiswahili?

Mayai matano yamevunjika.

a)

kielezi

b)

kivumishi

c)

nomino

d)

kitenzi

51.

Hii ni suruali ya miguu mifupi ambayo hujulikana kama kaptura au _____

a)

kocho

b)

bombo

c)

kamisi

d)

sare

52.

Mavazi haya huvaliwa na wachezaji. Je , yanaitwaje?

a)

sare

b)

jezi

c)

chupi

d)

daluga

53.

Maneno yafuatayo huitwaje?

Ebo!, Lo!, Masalaale!, Aha!, Kumbe!, Huree!, Alhamdulillahi!, Hoyee!

a)

viwakilishi

b)

vihusishi

c)

vihisishi

d)

vielezi

54.

Jaza pengo kwa kutumia kiunganishi kifaacho.

Hakunywa chai _______uji.

a)

lakini

b)

wala

c)

na

d)

pia

55.

Ni kipi miongoni mwa vifuatavyo kisichotumika jikoni?

a)

Chano

b)

Fyekeo

c)

Buli

d)

Bilauri

56.

Jua huchomoza upande wa __________.

a)

Magharibi

b)

Kaskazini

c)

Kusini

d)

Mashariki

57.

Daftari la kuandikia lina umbo gani?

a)

Mche

b)

Kopa

c)

Mstatili

d)

Mraba

58.

Mtoto wa mjukuu wangu nitamwitaje?

a)

Mpwa

b)

kitukuu

c)

Kilembwe

d)

Kinying'inya

59.

Mnyama wa msituni anayefanana na nguruwe ni ________

a)

nyati

b)

kifaru

c)

ngiri

d)

swara

60.

Anayemsaidia daktari hospitalini kwa kuwapa wagonjwa dawa na kuhakikisha wamekula anaitwa _____________.

a)

tabibu

b)

mchuuzi

c)

msusi

d)

mwuguzi

61.

Ni nini hutumika pamoja na kinu kutwangia vitu jikoni?

a)

Mche

b)

Mbuzi

c)

Mchi

d)

Buli

62.

Ni vazi lipi huvaliwa na wanawake pekee?

a)

Kanchiri

b)

Suruali

c)

Koti

d)

Kizibao

63.

Rangi ya juu ya upinde wa mvua ni __________ .

a)

machungwa

b)

samawati

c)

nyekundu

d)

kijani

64.

Yupi kati ya wanyama wafuatao ni tofauti na wengine?

a)

Sokwe

b)

Kima

c)

Swara

d)

Tumbiri

65.

Samaki ni kwa maji kama vile ndege ni kwa ___________ .

a)

kombe

b)

kizimba

c)

mzinga

d)

kiota

66.
  1. Kati ya shughuli hizi, ni ipi huja ya kwanza?
a)

Kupanda

b)

Kulima

c)

Kupalilia

d)

Kuvuna

67.

Vivumishi hueleza zaidi kuhusu _______

a)

kitenzi

b)

nomino

c)

kiunganishi

d)

kihisishi

68.

Viatu vizee vina matope - Neno lipi ni kivumishi

a)

viatu

b)

vizee

c)

vina

d)

matope

69.

Tambua kivumishi:

Pahali pengi pameharibika.

a)

Pahali

b)

pengi

c)

pameharibika

d)

hakuna jubu sahihi

70.

Tambua kivumishi:

Kalamu hiyo ni mbaya.

a)

Kalamu

b)

hiyo

c)

ni

d)

mbaya

71.

Tambua kivumishi cha pekee katika sentensi. Chakula kingine kimepikwa na mama yangu.

a)

Yangu

b)

Kingine

c)

Chakula

d)

Kimepikwa

72.

Kivumishi ni nini?

a)

Neno linalotoa habari zaidi kuhusu nomino

b)

Neno lenye maana sawa na nomino.

c)

Majina ya vitendo vya watu

d)

Neno linalojisimamia.

73.

Kuwa mwangalifu, lau sivyo utachomwa na chai __________

a)

kubwa

b)

ndogo

c)

baridi

d)

moto

74.

Sharubati ya limau ni tamu. Hutiwa barafu ili kiwe kinywaji ______

a)

ndefu

b)

moto

c)

baridi

d)

tulivu

75.

Tumia kivumishi kifaacho kujaza pengo

Ndimu huwa ____________

a)

tamu

b)

kali

c)

kakasi

d)

chungu

76.

Mtoto mwoga hulia anapomwona mende.

a)

Mwoga

b)

mtoto

c)

hulia

d)

Mende

77.

Tambua kivumishi katika sentensi ifuatayo:

Uso wenye huzuni unatisha sana

a)

Uso

b)

wenye

c)

sana

d)

unatisha

78.

Pink in KiSwahili is:

a)

buluu

b)

tatu

c)

waridi

d)

rosado

79.

Jina lako nani means:

(a)  

80.

Kamilisha methali ifuatayo:

Usipoziba ufa utajenga ______

a)

dirisha

b)

Ufa

c)

Uta

d)

Ukuta

81.

Tegua kitendawili:

Daima yeye hunifuata niendapo

a)

Rafiki yangu

b)

Kivuli

c)

Mwangaza

d)

Upepo

82.

Fanana kama ______

a)

Pacha

b)

Marafiki

c)

Mama na bintiye

d)

Shilingi kwa ya pili.

83.

Nahau gani ina maana ya "kupata taabu"?

a)

Ng'oa nanga

b)

Kula mwata

c)

Piga chafya

d)

kata kamba

84.

Ala hii ya muziki iliyo kushoto ni______

a)

Marimba

b)

Zeze

c)

Kayamba

d)

Gitaa

85.

Ugonjwa unaosabishwa na vidudu vya konokono unaomfanya mgonjwa akojoe damu ni _______

a)

Malaria

b)

Kifafa

c)

Kipindupindu

d)

Kichocho

86.

Jina lipi haliko katika ngeli ya LI-YA

a)

majiko

b)

makochi

c)

marubani

d)

marinda