wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Swahili

Total questions: 113

Worksheet time: 2hrs 32mins

Name
Class
Date
1.

Food.


What is carrot in kiswahili?

a)

carrotoi

b)

carroti

c)

carrote

d)

Carrot

2.

Which of the following is food in kiswahili

a)

chapati

b)

moja

c)

mkate

d)

vyakula

3.

How do you say food in kiswahili

a)

Vyakula

b)

Ugali

c)

Chapati

d)

Foodi

e)

None of them

4.

Which of the following is food in kiswahili

a)

chapati

b)

moja

c)

mkate

d)

vyakula

5.

Numbers


How do you say Number in kiswahili

a)

Numberi

b)

Number

c)

Numbarai

d)

Numbari

6.

What is ishirini na sita + ishirini na mbili

a)

Aurubaini

b)

ishirini na nane

c)

Aurubaini na tisa

d)

Aurubaini na nane

7.

Kumi + nane

(a)  

8.

How did you find this so far

a)

Easy

b)

Dead easy

c)

Hard

d)

Extremely hard

e)

hard but at the same time easy

9.

Huyu ni

a)

Simba

b)

paka

10.

Taja jina

a)

Pete

b)

kengele

11.

Hii ni nini?

a)

Nanasi

b)

Ndizi

12.

Tambua picha

a)

kiatu

b)

kiti

13.

Tambua picha

a)

msichana

b)

mvulana

14.

Taja jina

a)

Kijiko

b)

kikombe

15.

HIvi ni?

a)

vitabu

b)

viti

16.

Hawa ni

a)

wavulana

b)

wasichana

17.

Hii ni ?

a)

Kitabu

b)

kalamu

18.

Hiki ni ?

a)

Kitabu

b)

kisu

19.

Hizi ni haki za watoto. Ni gani sio?

a)

Haki ya elimu

b)

Haki ya kucheza

c)

Haki ya kulia

d)

Haki ya malezi bora

20.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha majini?

a)

Ndege

b)

Meli

c)

Motaboti

d)

Feri

21.

NI chombo kipi cha usafiri si cha hewani?

a)

Treni

b)

Parachuti

c)

Ndege

d)

Helikopta

22.

Ni chombo kipi cha usafiri si cha ardhini?

a)

Treni

b)

Pikipiki

c)

feri

d)

baiskeli

23.

Ni neno lipi ambalo halina sauti p?

a)

Mpira

b)

pete

c)

vuvuzela

d)

papai

24.

Ninatumiwa na wanafunzi kuketi na kuwekelea vitabu. Mimi ni nani?

a)

Ofisi

b)

Dawati

c)

Maktaba

d)

basi

25.

Ninatumika kufuta ubao. Mimi ni nani?

a)

Kichongeo

b)

Kifutio

c)

Kalamu

26.

Tenganisha silabi

dirisha

(a)  

27.

Hujambo?

(a)  

28.

Ukisalimiwa "Habari yako?" Utasemaje?

(a)  

29.

check the box with the correct order of the syllables

a)

i,o,e,a,u

b)

a,e,i,o,u

c)

u,i,o,e,a

30.

translate this into kiswahili:

it is five in the morning

(a)  

31.

What is MORNING in kiswahili?

a)

usiku

b)

jioni

c)

asubuhi

d)

KUMI

32.

Kanusha hi sentensi

change this sentence into negative:

nime soma

a)

siku soma

b)

nili soma

c)

ame soma

33.

chegua mnya wa nyumbani

chose the domestic animal

a)

paka

b)

chui

c)

simba

34.

CHUI

huyu ni mnyama wa (a)  

35.

chegua wanyama wa nyumbani

chose the domestic animals

a)

SIMBA na CHUI

b)

PAKA na JIMBWA

c)

SAMAKI na PAPA

d)

KIFARU na POPO

36.

what are wild animals in kiswahili?

(a)  

37.

what is COW in kiswahili?

(a)  

38.

WHAT IS THE SUBJECT YOU ARE LEARNING NOW?

(a)  

39.

Picha hii ina mmea mchanga. Je, mmea mchanga huitwaje?

a)

mchi

b)

mche

c)

mimea

d)

mparachichi

40.

Andika sentensi ifuatayo kwa umoja?

Mihogo yao imeiva.

a)

mhogo wake umeiva

b)

muhogo wake umeiva

c)

muhogo wao umeiva

d)

muhogo wangu umeiva

41.

Mmea unaozaa kahawa huitwa_______

a)

mche

b)

kahawa

c)

mbuni

d)

mgomba

42.

Ndizi huwa na utamu mwingi. Je, mmea unaozaa ndizi huitwaje?

a)

mndizi

b)

mpera

c)

mpunga

d)

mgomba

43.

Mmea huu huzaa maembe. Wingi wake ni miembe. Umoja wa miembe ni __________

a)

embe

b)

myembe

c)

mwembe

d)

muhogo

44.

Mmea huu huitwa mpunga. Je, unazaa zao gani?

a)

wali

b)

mchele

c)

parachichi

d)

mahindi

45.

Mtu anayeimba mashairi huitwa_____

a)

mshororo

b)

manju

c)

malenga

d)

mghani

46.

Kipofu, mtume, chura, kipepeo na bata ni nomino zinazopatikana katika ngeli ya ________

a)

KI-VI

b)

A-WA

c)

LI-YA

d)

U-I

47.

Nomino darasa, magari, goti, tumbo, daftari na madawati hupatikana katika ngeli gani?

a)

LI-YA

b)

KI-VI

c)

A-WA

d)

U-I

48.

Mshororo unaorudiwarudiwa katika shairi huitwaje?

a)

malenga

b)

kibwagizo

c)

shairi

d)

tarbia

49.

________ni shairi la mishororo minne katika kila ubeti.

a)

tathmina

b)

tarbia

c)

tathlitha

d)

tathnia

50.

Chombo kinachotumiwa kuonyesha pande za dunia huitwa__________

a)

jua

b)

dira

c)

kochi

d)

jokofu

51.

Jua huchomoza kutoka upande wa ___________

a)

kaskazini

b)

kusini

c)

magharibi

d)

mashariki

52.

Bendera ya nchi yetu ina rangi nne. Je, ni rangi gani husimamia ardhi?

a)

nyeusi

b)

nyekundu

c)

kijani kibichi

d)

nyeupe

53.

Maneno yafuatayo huitwaje?

papa-baba

pipi-bibi

koti -goti

a)

kinyume

b)

vitate

c)

visawe

d)

kielezi

54.

Neno lililopigiwa mstari ni mfano wa neno gani ya Kiswahili?

Mayai matano yamevunjika.

a)

kielezi

b)

kivumishi

c)

nomino

d)

kitenzi

55.

Hii ni suruali ya miguu mifupi ambayo hujulikana kama kaptura au _____

a)

kocho

b)

bombo

c)

kamisi

d)

sare

56.

Mavazi haya huvaliwa na wachezaji. Je , yanaitwaje?

a)

sare

b)

jezi

c)

chupi

d)

daluga

57.

Maneno yafuatayo huitwaje?

Ebo!, Lo!, Masalaale!, Aha!, Kumbe!, Huree!, Alhamdulillahi!, Hoyee!

a)

viwakilishi

b)

vihusishi

c)

vihisishi

d)

vielezi

58.

Jaza pengo kwa kutumia kiunganishi kifaacho.

Hakunywa chai _______uji.

a)

lakini

b)

wala

c)

na

d)

pia

59.

Shikamoo ____________________

a)

nzuri

b)

marahaba

c)

sijambo

d)

poa

60.

Habari ya jioni? _______________

a)

poa

b)

sasa

c)

hatujambo

d)

nzuri

61.

Yupi si ndege wa nyumbani? ____________________

a)

mbuni

b)

koo

c)

bata

d)

njiwa

62.

Ndege anayeiga sauti huitwa __________________

a)

kuku

b)

tausi

c)

bata

d)

kasuku

63.

Kuku hutupatia _____________________

a)

maziwa

b)

mboga

c)

mayai

d)

ugali

64.

Kalamu ilianguka ________________________ meza.

a)

ndani ya

b)

chini ya

c)

katikati ya

d)

mbele ya

65.

Ndege yuko __________________ mti.

a)

juu ya

b)

katikati ya

c)

mbele ya

d)

chini

66.

Andika vizuri

wanji

a)

awinja

b)

wanji

c)

njiwa

d)

jiwa

67.

Mtoto wa kuku huitwa ________________________

a)

paka

b)

kiyoyo

c)

kuku

d)

kifaranga

68.

Yupi si mnyama wa nyumbani? ___________________

a)

nyoka

b)

ng'ombe

c)

mbuzi

d)

kondoo

69.

shikamoo ___________?

a)

marahaba

b)

sijambo

c)

poa

70.

Habari yako _________?

a)

nzuri

b)

njema

c)

asante

71.

anafanya nini ___________?

a)

ana cheza

b)

ana lala

c)

ana soma

72.

mama nafanya nini _________?

a)

ana kula

b)

ana cheza

c)

ana pika

73.

ana fanya nini ________?

a)

kimbia

b)

lala

c)

cheza

74.

huyu ni __________?

a)

mvulana

b)

msichana

c)

mwalimu

75.

huyu ni _____________?

a)

mvulana

b)

mama

c)

msichana

76.

hiki ni _________?

a)

meza

b)

kiti

c)

mlango

77.

hii ni ___________?

a)

nyumba

b)

sokoni

c)

shule

78.

hii ni ________?

a)

shuleni

b)

njiani

c)

duka

79.

Shikamoo?

a)

Maraha

b)

Marahaba

c)

Marhabaa

80.

Jambo?

a)

Jamaa

b)

Jambu

c)

Jambo

81.

Embe

a)
b)
c)
82.

1+1=

a)

Mbili

b)

moja

c)

tatu

83.

Hii ni:

a)

Ndizi

b)

Dafu

c)

Nanasi

84.
a)

Lala

b)

Imba

c)

Ruka

85.

Hili ni:

a)

Embe

b)

Nanasi

c)

Dafu

86.

Hii ni :

a)

China

b)

Uganda

c)

Marekani

87.

Hawa ni:

a)

Maua

b)

Watoto

c)

Gauni

88.

Hizi ni :

a)

Hatua

b)

Nambari

c)

Alfabeti

89.

Huyu ni :

a)

Bibi

b)

Bata

c)

Zabibu

90.

Hawa ni:

a)

Simba

b)

Tembo

c)

Kuku

91.

Huyu ni

a)

Paka

b)

Yai

c)

Bata

92.

Hii ni:

a)

Milima

b)

Familia

c)

Gemu

93.

Mtoto ana.....

a)

imba

b)

ruka

c)

lala

94.

HUYU NI MTOTO

a)
b)
c)
95.

Hawa ni SUNGURA

a)
b)
c)
96.

Mtoto anakula nini?

a)

embe

b)

ndizi

c)

papai

97.

simba anakula nini ?

a)

nyama

b)

majani

c)

miti

98.

Huyu ni

a)

kuku

b)

paka

c)

chatu

99.

Baba anakula nini?

a)

wali na nyanya

b)

wali na samaki

c)

wali

100.

Hii ni

a)

NCHI

b)

SAA

c)

NYUMBA

101.

Leroy ana miaka......?

a)

saba

b)

sita

c)

nane

102.

Joy ana miaka

a)

saba

b)

sita

c)

tisa

103.

Shani ana miaka

a)

kumi

b)

tisa

c)

nane

104.

Joy anaishi wapi ?

a)

ufaransa

b)

uswisi

c)

uingereza

105.

shani anaishi wapi ?

a)

uswisi

b)

ufaransa

c)

marekani

106.

Leroy anaishi wapi ?

a)

uswisi

b)

ufaransa

c)

uingereza

107.

1+1 = ?

a)

2

b)

8

c)

9

108.

10 +12=?

a)

14

b)

12

c)

22

109.

Hii ni picha ya nini?

a)

Sofa

b)

Kitanda

c)

Meza

110.

Hii ni picha ya nini?

a)

luninga

b)

viti

c)

sofa

111.

Huyu ni Kasuku.

a)

ndiyo

b)

hapana

c)

sijui

112.

mwalimu anapenda kula pilau.picha ipi ni ya pilau

a)
b)
c)
113.

SHANI ANAPENDA KULA VITUMBUA.IPI PICHA YA VITUMBUA?

a)
b)
c)