Font size
WorksheetsSwahili
Total questions: 113
Worksheet time: 2hrs 32mins
Food.
What is carrot in kiswahili?
carrotoi
carroti
carrote
Carrot
Which of the following is food in kiswahili
chapati
moja
mkate
vyakula
How do you say food in kiswahili
Vyakula
Ugali
Chapati
Foodi
None of them
Which of the following is food in kiswahili
chapati
moja
mkate
vyakula
Numbers
How do you say Number in kiswahili
Numberi
Number
Numbarai
Numbari
What is ishirini na sita + ishirini na mbili
Aurubaini
ishirini na nane
Aurubaini na tisa
Aurubaini na nane
Kumi + nane
(a)
How did you find this so far
Easy
Dead easy
Hard
Extremely hard
hard but at the same time easy
Huyu ni
Simba
paka
Taja jina
Pete
kengele
Hii ni nini?
Nanasi
Ndizi
Tambua picha
kiatu
kiti
Tambua picha
msichana
mvulana
Taja jina
Kijiko
kikombe
HIvi ni?
vitabu
viti
Hawa ni
wavulana
wasichana
Hii ni ?
Kitabu
kalamu
Hiki ni ?
Kitabu
kisu
Hizi ni haki za watoto. Ni gani sio?
Haki ya elimu
Haki ya kucheza
Haki ya kulia
Haki ya malezi bora
Ni chombo kipi cha usafiri si cha majini?
Ndege
Meli
Motaboti
Feri
NI chombo kipi cha usafiri si cha hewani?
Treni
Parachuti
Ndege
Helikopta
Ni chombo kipi cha usafiri si cha ardhini?
Treni
Pikipiki
feri
baiskeli
Ni neno lipi ambalo halina sauti p?
Mpira
pete
vuvuzela
papai
Ninatumiwa na wanafunzi kuketi na kuwekelea vitabu. Mimi ni nani?
Ofisi
Dawati
Maktaba
basi
Ninatumika kufuta ubao. Mimi ni nani?
Kichongeo
Kifutio
Kalamu
Tenganisha silabi
dirisha
(a)
Hujambo?
(a)
Ukisalimiwa "Habari yako?" Utasemaje?
(a)
check the box with the correct order of the syllables
i,o,e,a,u
a,e,i,o,u
u,i,o,e,a
translate this into kiswahili:
it is five in the morning
(a)
What is MORNING in kiswahili?
usiku
jioni
asubuhi
KUMI
Kanusha hi sentensi
change this sentence into negative:
nime soma
siku soma
nili soma
ame soma
chegua mnya wa nyumbani
chose the domestic animal
paka
chui
simba
CHUI
huyu ni mnyama wa (a)
chegua wanyama wa nyumbani
chose the domestic animals
SIMBA na CHUI
PAKA na JIMBWA
SAMAKI na PAPA
KIFARU na POPO
what are wild animals in kiswahili?
(a)
what is COW in kiswahili?
(a)
WHAT IS THE SUBJECT YOU ARE LEARNING NOW?
(a)
Picha hii ina mmea mchanga. Je, mmea mchanga huitwaje?
mchi
mche
mimea
mparachichi
Andika sentensi ifuatayo kwa umoja?
Mihogo yao imeiva.
mhogo wake umeiva
muhogo wake umeiva
muhogo wao umeiva
muhogo wangu umeiva
Mmea unaozaa kahawa huitwa_______
mche
kahawa
mbuni
mgomba
Ndizi huwa na utamu mwingi. Je, mmea unaozaa ndizi huitwaje?
mndizi
mpera
mpunga
mgomba
Mmea huu huzaa maembe. Wingi wake ni miembe. Umoja wa miembe ni __________
embe
myembe
mwembe
muhogo
Mmea huu huitwa mpunga. Je, unazaa zao gani?
wali
mchele
parachichi
mahindi
Mtu anayeimba mashairi huitwa_____
mshororo
manju
malenga
mghani
Kipofu, mtume, chura, kipepeo na bata ni nomino zinazopatikana katika ngeli ya ________
KI-VI
A-WA
LI-YA
U-I
Nomino darasa, magari, goti, tumbo, daftari na madawati hupatikana katika ngeli gani?
LI-YA
KI-VI
A-WA
U-I
Mshororo unaorudiwarudiwa katika shairi huitwaje?
malenga
kibwagizo
shairi
tarbia
________ni shairi la mishororo minne katika kila ubeti.
tathmina
tarbia
tathlitha
tathnia
Chombo kinachotumiwa kuonyesha pande za dunia huitwa__________
jua
dira
kochi
jokofu
Jua huchomoza kutoka upande wa ___________
kaskazini
kusini
magharibi
mashariki
Bendera ya nchi yetu ina rangi nne. Je, ni rangi gani husimamia ardhi?
nyeusi
nyekundu
kijani kibichi
nyeupe
Maneno yafuatayo huitwaje?
papa-baba
pipi-bibi
koti -goti
kinyume
vitate
visawe
kielezi
Neno lililopigiwa mstari ni mfano wa neno gani ya Kiswahili?
Mayai matano yamevunjika.
kielezi
kivumishi
nomino
kitenzi
Hii ni suruali ya miguu mifupi ambayo hujulikana kama kaptura au _____
kocho
bombo
kamisi
sare
Mavazi haya huvaliwa na wachezaji. Je , yanaitwaje?
sare
jezi
chupi
daluga
Maneno yafuatayo huitwaje?
Ebo!, Lo!, Masalaale!, Aha!, Kumbe!, Huree!, Alhamdulillahi!, Hoyee!
viwakilishi
vihusishi
vihisishi
vielezi
Jaza pengo kwa kutumia kiunganishi kifaacho.
Hakunywa chai _______uji.
lakini
wala
na
pia
Shikamoo ____________________
nzuri
marahaba
sijambo
poa
Habari ya jioni? _______________
poa
sasa
hatujambo
nzuri
Yupi si ndege wa nyumbani? ____________________
mbuni
koo
bata
njiwa
Ndege anayeiga sauti huitwa __________________
kuku
tausi
bata
kasuku
Kuku hutupatia _____________________
maziwa
mboga
mayai
ugali
Kalamu ilianguka ________________________ meza.
ndani ya
chini ya
katikati ya
mbele ya
Ndege yuko __________________ mti.
juu ya
katikati ya
mbele ya
chini
Andika vizuri
wanji
awinja
wanji
njiwa
jiwa
Mtoto wa kuku huitwa ________________________
paka
kiyoyo
kuku
kifaranga
Yupi si mnyama wa nyumbani? ___________________
nyoka
ng'ombe
mbuzi
kondoo
shikamoo ___________?
marahaba
sijambo
poa
Habari yako _________?
nzuri
njema
asante
anafanya nini ___________?
ana cheza
ana lala
ana soma
mama nafanya nini _________?
ana kula
ana cheza
ana pika
ana fanya nini ________?
kimbia
lala
cheza
huyu ni __________?
mvulana
msichana
mwalimu
huyu ni _____________?
mvulana
mama
msichana
hiki ni _________?
meza
kiti
mlango
hii ni ___________?
nyumba
sokoni
shule
hii ni ________?
shuleni
njiani
duka
Shikamoo?
Maraha
Marahaba
Marhabaa
Jambo?
Jamaa
Jambu
Jambo
Embe
1+1=
Mbili
moja
tatu
Hii ni:
Ndizi
Dafu
Nanasi
Lala
Imba
Ruka
Hili ni:
Embe
Nanasi
Dafu
Hii ni :
China
Uganda
Marekani
Hawa ni:
Maua
Watoto
Gauni
Hizi ni :
Hatua
Nambari
Alfabeti
Huyu ni :
Bibi
Bata
Zabibu
Hawa ni:
Simba
Tembo
Kuku
Huyu ni
Paka
Yai
Bata
Hii ni:
Milima
Familia
Gemu
Mtoto ana.....
imba
ruka
lala
HUYU NI MTOTO
Hawa ni SUNGURA
Mtoto anakula nini?
embe
ndizi
papai
simba anakula nini ?
nyama
majani
miti
Huyu ni
kuku
paka
chatu
Baba anakula nini?
wali na nyanya
wali na samaki
wali
Hii ni
NCHI
SAA
NYUMBA
Leroy ana miaka......?
saba
sita
nane
Joy ana miaka
saba
sita
tisa
Shani ana miaka
kumi
tisa
nane
Joy anaishi wapi ?
ufaransa
uswisi
uingereza
shani anaishi wapi ?
uswisi
ufaransa
marekani
Leroy anaishi wapi ?
uswisi
ufaransa
uingereza
1+1 = ?
2
8
9
10 +12=?
14
12
22
Hii ni picha ya nini?
Sofa
Kitanda
Meza
Hii ni picha ya nini?
luninga
viti
sofa
Huyu ni Kasuku.
ndiyo
hapana
sijui
mwalimu anapenda kula pilau.picha ipi ni ya pilau
SHANI ANAPENDA KULA VITUMBUA.IPI PICHA YA VITUMBUA?
