Font size
WorksheetsQuiz 23
Total questions: 138
Worksheet time: 1hrs 13mins
Hamjambo wanafunzi?
(a)
Hapa ni wapi?
msituni
baharini
nyumbani
sokoni
Hapa ni wapi?
(a)
Huyu anafanya nini?
(a)
Hii ni nini?
(a)
Hii ni nini?
(a)
Kanusha sentensi hii (negate this sentense)
Mama anaenda sokoni
(a)
Kanusha
Simba anaishi porini
(a)
Kanusha (negate)
Kaka anaogelea
(a)
Kanusha (negate)
Sisi tunaenda nyumbani
(a)
Kanusha : negate
Wanafunzi wanaandika barua
(a)
Kanusha;
Gari kubwa litanunuliwa
(a)
Kanusha (negate)
Mwalimu atafika mapema
(a)
Kanusha: negate
Dada anaenda sokoni
(a)
Andika kwa wingi (write in plural)
Mtoto anacheza kandanda
(a)
HUYU NI MTOTO
Hawa ni SUNGURA
Mtoto anakula nini?
embe
ndizi
papai
simba anakula nini ?
nyama
majani
miti
Huyu ni
kuku
paka
chatu
Baba anakula nini?
wali na nyanya
wali na samaki
wali
Hii ni
NCHI
SAA
NYUMBA
Leroy ana miaka......?
saba
sita
nane
Joy ana miaka
saba
sita
tisa
Shani ana miaka
kumi
tisa
nane
Joy anaishi wapi ?
ufaransa
uswisi
uingereza
shani anaishi wapi ?
uswisi
ufaransa
marekani
Leroy anaishi wapi ?
uswisi
ufaransa
uingereza
1+1 = ?
2
8
9
10 +12=?
14
12
22
Hii ni picha ya nini?
Sofa
Kitanda
Meza
Hii ni picha ya nini?
luninga
viti
sofa
Huyu ni Kasuku.
ndiyo
hapana
sijui
mwalimu anapenda kula pilau.picha ipi ni ya pilau
SHANI ANAPENDA KULA VITUMBUA.IPI PICHA YA VITUMBUA?
MIMI NINAKULA PIZA.
MTOTO ANAENDESHA BAISKELI
IPI PICHA YA ASALI
IPI PICHA YA BASI ?
HAYA NI MAUA YA NJANO
IPI PICHA YA SUNGURA?
IPI PICHA YA LUNINGA ?
PICHA IPI INAONESHA KULALA ?
PICHA IPI INAONESHA KUCHEZA KARATA ?
IPI PICHA YA MKATE?
Tunatumia ______________________ kukusanya taka.
kifyekeo
reki
Tunatumia ___________________ kufagia darasa.
ufagio
baro
Amina hutupa taka ndani ya ________________.
pipa
darasa
Baba anafyeka akitumia ____________________
reki
kifyekeo
Ni vizuri kuweka mazingira yetu ____________ kila wakati.
masafi
safi
Andika vizuri: embej
(a)
Andika vizuri: onod
(a)
Andika vizuri: ofigau
(a)
Mbu hueneza ugonjwa wa (a)
Mbu huishi kwenye (a) yenye maji iliyotupwa kwenye mazingira.
Sasa ni saa ngapi?
Saa saba
Saa sita
Saa nane
Saa moja
Ni gani saa sita?
sasa ni saa ngapi?
Saa nane
Saa mbili
Saa saba
Saa sita
Ni gani saa tano kamili?
Sasa ni saa ngapi?
Saa nane
Saa tatu
Saa saba
Saa mbili
Give the Kiswahili name for House
Nyumba
Jikoni
Paa
Dirisha
Window is kiswahili is
Paa
Mama
Dirisha
Bafu
Shikamoo
Sijambo
Marahaba
Kwaheri
Poa
which sentence is the correct trransalation of the sentence below :
Mama aliendesha gari vizuri
Dad took the car.
Mum drive the car well.
My sister has a car
Uncle sold his car
which of the following Swahili words best match the group of words listed below:
Window, Roof, Door, Kitchen
Dirisha, Paa, Mlango, Jikoni
Baba, mama, Dada, kaka
Mimi, wewe, sisi, hao
Uncle in Swahili is?
Shangazi
Bibi
Mjomba
Kaka
Grand Mother in Swahili is?
Nyanya/Bibi
Babu
Mpwa
Shangazi
Brother in Swahili is?
Kaka
Mjomba
Shangazi
Mama
Grand Father in Swahili is
Mama
baba
Babu
Mjomba
Kwaheri
Good Bye
I am fine
Go
Come
Mwalimu wetu anaitwa ?
Alfred
Kariuki
Waweru
Rachael
What is morning in swahili
Jioni
Asubuhi
Adhuhuri
Usiku
What is evening in Swahili
Usiku
Macheo
Machweo
Jioni
Ni saa ngapi kwa Kiswahili?
Saa tatu
Saa tisa
Saa kumi na mbili
Saa sita
Ni saa ngapi kwa Kisahili
Saa tatu na robo.
Saa nne na robo
Saa nne kasorobo
Saa tatu na nusu
Ni saa ngapi kwa Kiswahili?
Saa saba kasoro dakika ishirini na tano
Saa saba na dakika ishirini na tano
Saa nane kasorobo
Saa saba na nusu
Ni saa ngapi ka Kiswahili?
Saa nne na nusu
Saa tano na nusu
Saa kumi na moja na nusu
Saa kumi na moja kasoro nusu
Night in Swahili
Mchana
Jioni
Usiku
Alfajiri
Minute in Swahili
muda
Sekunde
Saa
Dakika
Yesterday
Leo
Juzi
Jana
Kesho
Tomorrow
Kesho
Mtondo
wiki
wakati
Very early in the morning (5.00am - 6.00am in the morning)
Asubuhi
Alfajiri
Usiku
Mchana
Early
Usiku
Macheo
Usiku
Mapema
Sunrise
Macheo
Machweo
Alfajiri
Usiku wa Manane
Sunset
Asubuhi
wakati
Machweo
Adhuhuri
Year
Mwezi
Mwaka
Wiki
Siku
Kuomba is to _____
Ask for
Give
Help
What is the Kiswahili word for 'help'?
Usaidizi
Msaada
Nisaidie
Translate: Help me!
Msaidie
Nisaidie
Tusaidie
How do you ask for something politely in Kiswahili?
Ninataka ...
Naomba ...
Nahitaji ...
Based on the image, complete the following sentence in Kiswahili using the most appropriate word.
Nisaidie na (a)
Negate: Ninataka
Sijui
Sitaki
Anataka
Ninahitaji maji means
I want water
I need water
I don't water
Maji is food. True of False?
True
False
Tunasemaje 'I would like...' kwa Kiswahili?
Ninahitaji
Ninataka
Ningependa
Translate: Nisaidie kupika
I want to cook
Help me to cook
I need to cook
What is father in kiswahili
Babu
Baba
Binamu
Mama
Robert has a sister, what is sister in Swahili
Nana
Lala
Dada
Dudu
Shemeji ni ....... ( Shemeji is.....)
Sister in Law
Brother in law
Father in law
Mother in aw
Mjomba ni ( Mjomba is )
Uncle
Father
Paternal uncle
Aunt
Which family member is the brothers wife ?
Wifi
Mke
Mpwa
Kitukuu
What is step mother in kiswahili ?
Baba wa kambo
Mama wa kambo
Mama
Baba
Babu na nyanya ni.........
Father and mother
Brother and sister
Grand Father and Grand Mother
Cousin and Cousins
Wazazi anaitwa .......... kwa kiingereza
anaitwa ( called )
Guardians
People who take care of you
Parents
Adults
Who are in the picture ?
Wazazi
Mwalimu
Watoto
Babu
How do you say brother in swahili ?
Dada
Mama
Kaka
Baba
How do you say grand father ?
baba
Nyanya
Babu
Dadu
Who do you call the sons or daughters of your mums sister ?
Mpwa
Binamu
Kaka
Dada
-__________________ ni tunda
hili
haya
______________ matunda
haya
hii
________________ kiti
hiki
hivi
_______________ viti
hivi
hiki
_________________ mvulana
huyu
hawa
_____________________ wavulana
huyu
hawa
_________________ nyumba
hizi
hii
Numba ________________
hizi
hii
mti _______________
hii
hizi
miti __________________
hizi
hii
1. Adika kwa maneno.
a. 25
Ishirini na tano
thelathini na tano
2. 58
sabini na nane
hamsini na nane
116
Mia moja sitini
mia moja na kumi na sita
540
Mia tano arubaini
Mia tano thelathini
1000
Mia moja
Elfu moja
Andika majibu ya salamu.
Hujambo
Sijambo
Hatujambo
Shikamoo
Marba
Marahaba
Kamilisha kwa kutumia kiwakilishi sahihi
_______________ ninacheza.
Mimi
Yeye
_____________________anatembea polepole.
Nyinyi
Yeye
___________________ tunapenda kusoma.
Sisi
Wewe
Mtoto _________________ anacheza.
Hawa
Huyu
Wamama ______________________ ni wazuri.
Huyu
Hawa
Wadudu __________ ni wakubwa.
Huyu
Hawa
Mkulima __________ anapanda maindi.
Hawa
Huyu
Baba ___________ ni daktari.
Huyu
Hawa.
Wazazi ____________ wanakuja shuleni.
Huyu
Hawa
Mwalimu ___________ ni mrefu.
Hawa
Huyu
Daktari ____________ alinidunga shindano.
Huyu
Hawa
Wanafunzi __________ ni wa darasa la kwanza.
Hawa
Huyu
Mwalimu _________________ anatufunza hesabu.
Hawa
Huyu
