NEW
Font size
Worksheetsgrade 4 kiswahili quizziz
Total questions: 10
Worksheet time: 5mins
Vihusishi ni nini?
Vihusishi ni maneno yanayoonyesha uhusiano baina ya kitu na kingine.
Ni neno lipi ni kihusishi?
yeye
Nairobi
juu ya
shuleni
Panya ameingia________shimo.
juu ya
chini ya
katika mwa
ndani ya
Viatu vyangu viko_____kitanda.
mbali na
mvunguni mwa
Nimeketi _________rafiki yangu.
karibu na
juu ya
mvunguni mwa
Tambua orodha ya viwakilishi.
mimi
yeye
huyu
mrembo
kizuri
shuleni
sana
pole pole
haraka
mpole
Nairobi
Peter
kidogo
vyembamba
viatu
kiti
tunda
wewe
mama
tembea
Akufaaye kwa dhiki ________
adui
ndiye rafiki
ndiye muungwana
ni mzuri
Ni nini maana ya 'taka idhini'?
kutaka ukubaliwe kutekeleza jambo
kuamua kufanya jambo kuhusu suala fulani
kuandikisha kesi kuhusu tukio au jambo fulani
kubisha ili ufunguliwe mlango
'Soma ' katika kauli ya kutendwa ni?
somea
someka
somwa
somewa
Wakati uliopita tunatumia kiambishi gani?
ta
li
na
me
