NEW
Font size
WorksheetsWorksheet on Syllables and Tongue Twisters
Total questions: 10
Worksheet time: 5mins
Silabi ni nini?
Neno lilioundwa na konsonanti pekee
Sehemu ndogo ya neno iliyoundwa na irabu pekee au konsonanti na irabu
Neno lilioundwa na irabu pekee
Sehemu ya sentensi
Neno “muziki” lina silabi ngapi?
Mbili
Tatu
Nne
Moja
Gawanya neno “amemwoza” katika silabi zake.
a) a + me + mwo + za
b) ame + mwo + za
c) a + mem + wo + za
d) am + em + wo + za
Vitanza ndimi ni nini?
Maneno yanayotatiza macho
Maneno yanayotatiza ndimi katika kuyatamka aghalabu yatamkwapo upesi
Maneno yenye silabi nyingi
Maneno rahisi kutamka
Kwa nini vitanza ndimi hutatiza ndimi?
Kwa sababu vina maneno ya kigeni
Kwa sababu hutamkwa kwa haraka na vinafanana kwa sauti
Kwa sababu vina maneno mafupi
Kwa sababu vina maneno ya lugha tofauti
Ni ipi kati ya hizi ni mfano wa kitanzandimi?
Muziki mzuri
Kaka kile kikuku changu kidogo kaka kiko kwako?
Silabi ni sehemu ya neno
Muziki wa Kenya
Ni kitanzandimi kipi kinahusisha neno “kanga”?
Jifunge kanga ukaange kanga kwenye kaa ukiikaa
Paa alipaa juu ya paa nikapopa samaki nikapaa moto
Waliwahi asubuhi kuhudhuria ghafla hafla ya lugha
Pofu kipofu ana kibofu kibovu
Ni ipi kati ya hizi si kitanzandimi?
Chura jura alitoka chozi katika jozi ya macho yake
Alilala chali bila kujali joka lililochoka chakari
Mwalimu mkuu ako darasani.
Silabi huunda nini?
Sentensi
Neno
Kitanzandimi
Irabu
Unda kitanzandimi kipya chenye maneno yanayofanana kwa sauti. Ni ipi kati ya hizi ni sahihi?
Paka paka paka paka
Paka alipaka rangi paka akapaka paka
Paka ni mnyama
Paka ana manyoya
