wayground logo

Free Printable Worksheets

NEW

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

KISWAHILI 2

Total questions: 25

Worksheet time: 25mins

Name
Class
Date
1.

Ni jibu gani lililo na nomino pekee?

a)

Jumamosi, Desemba,kifutio na nzuri

b)

kiatu, balbu,darasani na safi

c)

usafi,chandarua,Nairobi na wema

d)

Vyema, watano, mengi na kitamu

2.

Kifaa hiki ccha nyumbani huitwa_________

a)

serendani

b)

stovu

c)

karai

d)

tendeguu

3.

Chugua wingi wa nomino bata

a)

wabata

b)

bata

c)

mabata

d)

zibata

4.

Neno lililopigiwa mstari ni la aina gani?

Mwanaisha amepika chakula kingi.

a)

nomino

b)

kivumishi

c)

kitenzi

d)

kingi

5.

Tambua neno lililopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo.

Shannel anashona nguo zake.

a)

kitenzi

b)

kivumishi

c)

kiunganishi

d)

nomino

6.

_____________ ni jina la mahali,kitu au mtu.

a)

kitenzi

b)

darasa

c)

nomino

d)

kivumishi

7.

Neno linalotoa habari zaidi kuhusu nomino huitwaje?

a)

nomino

b)

kivumishi

c)

kitenzi

d)

kielezi

8.

Picha hii inaonyesha chumba gani?

a)

jikoni

b)

sebuleni

c)

chumba cha malazi

d)

msalani

9.

Ni kifaa gani hakipatikani sebuleni?

a)

kochi

b)

runinga

c)

zulia

d)

chandarua

10.

Sehemu inayoshikilia mlango kwenye ukuta huitwaje?

a)

mwengoya

b)

kizingiti

c)

balbu

d)

matendeguu

11.

Ni jibu gani lililo na jozi yenye vitate?

a)

bobo-popo

b)

televisheni- runinga

c)

simama - keti

d)

mkono-mguu

12.

Jaza pengo.

Wageni ______ wamekaribishwa sebuleni.

a)

kikubwa

b)

cheusi

c)

mzuri

d)

wengi

13.

Chagua vitenzi kutoka kwenye kikapu.

a)

soma

ruka

tembea

b)

yangu

mrefu

mfupi

mpole

yake

mwema

c)

kiatu

sebule

Ijumaa

d)

yangu

kiatu

mrefu

soma

14.

Maneno yaliyoandikwa kwa rangi ya bluu ni ya aina gani?

a)

vielezi

b)

vivumishi

c)

vitenzi

d)

nomino

15.

Jaza pengo.

Pipi ni kwa bibi kama vile chambo ni kwa __________.

a)

popo

b)

jambo

c)

rula

d)

kiatu

16.

Tambua jina la picha hii.

a)

runinga

b)

redio

c)

kompyuta

d)

tumbuu

17.

Halima anapika githeri. Amewekelea sufuria kwenye ______________ .

a)

mafiga

b)

serendani

c)

sahani

d)

kinu

18.

Neema alikutana na nyanya yake. Alimsalimia "Shikamoo nyanya?". Nyanya yake alimjibu vipi?

a)

marahaba

b)

vyema

c)

asante

d)

sijambo

19.

Mwalimu wangu, wazazi wetu,rafiki yangu na nyumbani kwetu ni mifano ya insha za aina gani?

a)

insha ya wasifu

b)

insha za maelezo

c)

insha hizi

d)

insha za vitabu

20.

Mimi ni chombo cha nyumbani. Wakati mwingi huwa ninapatikana jikoni.Ninatumiwa sana wakati pilau inapikwa. Ninatumiwa pamoja na mchi. Je, mimi ni nani?

a)

kinu

b)

chandarua

c)

kifutio

d)

kiota

21.

Shairi la mshororo mmoja hutwaje?

a)

tathmina

b)

tarbia

c)

tathlitha

d)

tathnia

22.

Mtunzi stadi wa mashairi huitwaje?

a)

malenga

b)

mshairi

c)

manju

d)

ubeti

23.

Chagua neno baki.

a)

mpera

b)

papai

c)

mhindi

d)

mparachichi

24.

Ni neno gani ambalo halipatikani katika ngeli ya A- WA?

a)

mchungwa

b)

kipepeo

c)

daktari

d)

manyani

25.

Tambua kiwakilishi katika sentensi ifuatayo.

Mimi hupenda kucheza na wenzangu sana.

a)

wenzangu

b)

mimi

c)

na

d)

sana