Search Header Logo

Aina za maneno

Authored by Joseph Musiori

Other

5th - 8th Grade

Used 37+ times

Aina za maneno
AI

AI Actions

Add similar questions

Adjust reading levels

Convert to real-world scenario

Translate activity

More...

    Content View

    Student View

16 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Sentensi gani kati ya hizi haina nomino?

Mama yangu ni mpishi hodari.

Alimpeleka hospitalini.

Mtumishi wa serikali amefika.

Lini Mwalimu atasahihisha mitihani?

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Nomino ni nini?

Majina ya watu.

Majina ya watu, wanyama na vitu vyote.

Majina yanayotoa habari zaidi kuhusu wanyama.

Majibu yote si sahihi.

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

_________________ amefika shuleni. (Chagua jibu lisilo sahihi)

Mwewe

Mwalimu

Mbuzi

Kiti

Bawabu

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

___mekula chakula kilichobaki. (Chagua kiwakilishi mwafaka)

Zi

Ki

Wa

Ya

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

Yafuatayo ni aina ya maneno isipokuwa moja.

Vivumishi

Viwakilishi

Viundaji

Vitenzi

Nomino

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mto ni aina gani ya neno?

Nomino

Kitenzi

Kiwakilishi

Kielezi

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mama alimpata mtoto amelala kitandani. (aina gani ya neno lililopigiwa mstari?)

Kitenzi

Kielezi

Kivumishi

Nomino

Access all questions and much more by creating a free account

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Classlink

Continue with Classlink

Clever

Continue with Clever

or continue with

Microsoft

Microsoft

Apple

Apple

Others

Others

Already have an account?