Aina za maneno

Aina za maneno

5th - 8th Grade

16 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

Kiswahili-Vivumishi

Kiswahili-Vivumishi

5th - 6th Grade

16 Qs

Kiswahili Vielezi

Kiswahili Vielezi

5th - 8th Grade

20 Qs

MASWALI MSETO

MASWALI MSETO

7th - 11th Grade

15 Qs

Antón Riveiro Coello, autor literario

Antón Riveiro Coello, autor literario

5th Grade

15 Qs

Proba de lectura_3ºT

Proba de lectura_3ºT

7th Grade

20 Qs

Kiswahili

Kiswahili

5th - 6th Grade

15 Qs

Aina za maneno

Aina za maneno

Assessment

Quiz

Other

5th - 8th Grade

Medium

Created by

Joseph Musiori

Used 37+ times

FREE Resource

16 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Sentensi gani kati ya hizi haina nomino?

Mama yangu ni mpishi hodari.

Alimpeleka hospitalini.

Mtumishi wa serikali amefika.

Lini Mwalimu atasahihisha mitihani?

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Nomino ni nini?

Majina ya watu.

Majina ya watu, wanyama na vitu vyote.

Majina yanayotoa habari zaidi kuhusu wanyama.

Majibu yote si sahihi.

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

_________________ amefika shuleni. (Chagua jibu lisilo sahihi)

Mwewe

Mwalimu

Mbuzi

Kiti

Bawabu

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

___mekula chakula kilichobaki. (Chagua kiwakilishi mwafaka)

Zi

Ki

Wa

Ya

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

Yafuatayo ni aina ya maneno isipokuwa moja.

Vivumishi

Viwakilishi

Viundaji

Vitenzi

Nomino

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mto ni aina gani ya neno?

Nomino

Kitenzi

Kiwakilishi

Kielezi

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mama alimpata mtoto amelala kitandani. (aina gani ya neno lililopigiwa mstari?)

Kitenzi

Kielezi

Kivumishi

Nomino

Create a free account and access millions of resources

Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports
or continue with
Microsoft
Apple
Others
By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy
Already have an account?

Similar Resources on Wayground