Search Header Logo

Aina za maneno

Authored by Joseph Musiori

Other

5th - 8th Grade

Used 37+ times

Aina za maneno
AI

AI Actions

Add similar questions

Adjust reading levels

Convert to real-world scenario

Translate activity

More...

    Content View

    Student View

16 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Sentensi gani kati ya hizi haina nomino?

Mama yangu ni mpishi hodari.

Alimpeleka hospitalini.

Mtumishi wa serikali amefika.

Lini Mwalimu atasahihisha mitihani?

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Nomino ni nini?

Majina ya watu.

Majina ya watu, wanyama na vitu vyote.

Majina yanayotoa habari zaidi kuhusu wanyama.

Majibu yote si sahihi.

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

_________________ amefika shuleni. (Chagua jibu lisilo sahihi)

Mwewe

Mwalimu

Mbuzi

Kiti

Bawabu

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

___mekula chakula kilichobaki. (Chagua kiwakilishi mwafaka)

Zi

Ki

Wa

Ya

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

10 sec • 1 pt

Yafuatayo ni aina ya maneno isipokuwa moja.

Vivumishi

Viwakilishi

Viundaji

Vitenzi

Nomino

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mto ni aina gani ya neno?

Nomino

Kitenzi

Kiwakilishi

Kielezi

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Mama alimpata mtoto amelala kitandani. (aina gani ya neno lililopigiwa mstari?)

Kitenzi

Kielezi

Kivumishi

Nomino

Access all questions and much more by creating a free account

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Microsoft

Continue with Microsoft

or continue with

Facebook

Facebook

Apple

Apple

Others

Others

Already have an account?