
Sarufi na matumizi ya lugha
Authored by Mark Onyancha
History, Other
2nd Grade
Used 175+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
41 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Kanusha. Tumewasalimu wote kwa pamoja
Hatujamsalimu wote kwa pamoja
Hatukuwasalimu wote kwa pamoja
Tujawasalimu wote kwa pamoja
Hatujawasalimu wote kwa pamoja
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Ukikanusha kwa wings sentensi hii, jibu litakuwa? Ukishiba niambie
Usiposhiba usiniambie
usiposhiba niambie
ukishiba usiniambie
Ukiwa haujashiba usiniambie
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Nyambua katika hali ya kutendesha. La-
Lalisha
Laza
Lisha
Liza
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Nyambua katika hali ya kutendewa. Fa-
Fawa
Fiwa
Faliwa
Filiwa
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Nyambua katika hali ya kutendea. Nya-
Nywea
Nyolea
Nyoea
Nyea
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Ni jibu gani linaloeleza vizuri zaidi maana ya fasihi simulizi?
Fasihi inayosemwa watu wanapokaa.
Fasihi inayohusu masimulizi kama vile ya riwaya.
Fasihi inayowasilishwa kwa mazungumzo na kuhifadhiwa akilini.
Fasihi inayohifadhiwa akilini ingawa wakati mwingine huwa vitabuni.
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Ni sifa zipi zinazotambulisha fasihi kama sanaa?
Lugha yenye ufundi/ina umbo maalum/husawiri mandhari/hujenga wahusika kwa ustadi.
Ina masimulizi/ina umbo maalum/ina matukio/hujenga wahusika kistadi.
Lugha yenye ufundi/ina maelezo/ina umbo maalum/ husawiri mandhari.
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?