DPC Youth Bible Challenge ( Luke 6-10)

Quiz
•
Other
•
Professional Development
•
Medium
moureen michael
Used 6+ times
FREE Resource
15 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
what were the disciples doing which the Pharisees said was unlawful on the Sabbath?
Wanafunzi walikuwa wakifanya nini ambayo Mafarisayo walisema haikuwa halali siku ya Sabato?
Fishing / Uvuvi
Healing on the Sabbath / Uponyaji siku ya Sabato
Eating with sinners / Kula na wenye dhambi
Plucking heads of grain / kung'oa masuke ya nafaka
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
After Jesus went out to the mountain to pray all night, what did He do in the morning?
Baada ya Yesu kwenda mlimani kuomba usiku kucha, alifanya nini asubuhi?
He praised God / Alimsifu Mungu
He ate / Alikula
He healed a man with leprosy / Alimponya mtu mwenye ukoma
He chose 12 apostles / Alichagua mitume 12
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Jesus said, “Blessed are you poor, for
Yesu alisema, “Heri ninyi mlio maskini, kwa maana
You shall have great riches / Utakuwa na utajiri mwingi
Yours is the kingdom of god / Ufalme wa mungu ni wako
The kingdoms of God are yours / Falme za Mungu ni zako
Yours is the kingdom of God / Ufalme wa Mungu ni wako
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
When Jesus entered the city of Capernaum, who was sick and ready to die?
Wakati Yesu aliingia mji wa Kapernaumu, ni nani alikuwa mgonjwa na alikuwa tayari kufa?
A centurion''s servant / Mtumishi wa akida
Samaritan woman / Mwanamke Msamaria
Lazarus / Lazaro
A and C / A na C
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
What did Jesus say he had not found, not even in Israel (based on centurion scenario) ?
Je! Yesu alisema hakuwa amepata nini, hata katika Israeli?
friend such as this / rafiki kama huyu
SUCH FAITH / IMANI KAMA HIYO
One so humble and selfless / Mtu mnyenyekevu na asiye na ubinafsi
Such great faith / Imani kubwa kama hiyo
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Jesus said that there is not a greater prophet than John the Baptist. Who did he say was greater than John?
Yesu alisema kwamba hakuna nabii mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Ni nani alisema ni mkubwa kuliko Yohana?
Young children / Watoto wadogo
Those who were least in the kingdom of God / Wale ambao walikuwa wadogo katika ufalme wa Mungu
All who believed in Jesus / Wote waliomwamini Yesu
sons of God / wana wa Mungu
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Which of the following is not in Luke chapter 8?
Je, ni kipi kifuatacho hakipo katika kitabu cha Luka sura ya 8 ?
Parable of the Sower / Mfano wa Mpanzi
Parable of the lamp / Taa chini ya Mtungi
Raising of the Jairus's daughter / Kufufuka kwa binti wa yairo
The two house builders / Wajenzi wawili wa nyumba
Create a free account and access millions of resources
Similar Resources on Wayground
12 questions
Soccer

Quiz
•
KG - Professional Dev...
15 questions
Jesus' Miracles

Quiz
•
Professional Development
10 questions
FIshing for people

Quiz
•
Professional Development
11 questions
Christmas song Trivia

Quiz
•
Professional Development
10 questions
¿cuanto conoces a los youtubers?

Quiz
•
Professional Development
10 questions
Romeo y Julieta

Quiz
•
Professional Development
15 questions
Quiz Célula

Quiz
•
Professional Development
14 questions
Name These Famous People.

Quiz
•
Professional Development
Popular Resources on Wayground
10 questions
Video Games

Quiz
•
6th - 12th Grade
10 questions
Lab Safety Procedures and Guidelines

Interactive video
•
6th - 10th Grade
25 questions
Multiplication Facts

Quiz
•
5th Grade
10 questions
UPDATED FOREST Kindness 9-22

Lesson
•
9th - 12th Grade
22 questions
Adding Integers

Quiz
•
6th Grade
15 questions
Subtracting Integers

Quiz
•
7th Grade
20 questions
US Constitution Quiz

Quiz
•
11th Grade
10 questions
Exploring Digital Citizenship Essentials

Interactive video
•
6th - 10th Grade