
DPC Youth Bible Challenge ( Luke 6-10)
Authored by moureen michael
Other
Professional Development
Used 6+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
15 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
what were the disciples doing which the Pharisees said was unlawful on the Sabbath?
Wanafunzi walikuwa wakifanya nini ambayo Mafarisayo walisema haikuwa halali siku ya Sabato?
Fishing / Uvuvi
Healing on the Sabbath / Uponyaji siku ya Sabato
Eating with sinners / Kula na wenye dhambi
Plucking heads of grain / kung'oa masuke ya nafaka
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
After Jesus went out to the mountain to pray all night, what did He do in the morning?
Baada ya Yesu kwenda mlimani kuomba usiku kucha, alifanya nini asubuhi?
He praised God / Alimsifu Mungu
He ate / Alikula
He healed a man with leprosy / Alimponya mtu mwenye ukoma
He chose 12 apostles / Alichagua mitume 12
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Jesus said, “Blessed are you poor, for
Yesu alisema, “Heri ninyi mlio maskini, kwa maana
You shall have great riches / Utakuwa na utajiri mwingi
Yours is the kingdom of god / Ufalme wa mungu ni wako
The kingdoms of God are yours / Falme za Mungu ni zako
Yours is the kingdom of God / Ufalme wa Mungu ni wako
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
When Jesus entered the city of Capernaum, who was sick and ready to die?
Wakati Yesu aliingia mji wa Kapernaumu, ni nani alikuwa mgonjwa na alikuwa tayari kufa?
A centurion''s servant / Mtumishi wa akida
Samaritan woman / Mwanamke Msamaria
Lazarus / Lazaro
A and C / A na C
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
What did Jesus say he had not found, not even in Israel (based on centurion scenario) ?
Je! Yesu alisema hakuwa amepata nini, hata katika Israeli?
friend such as this / rafiki kama huyu
SUCH FAITH / IMANI KAMA HIYO
One so humble and selfless / Mtu mnyenyekevu na asiye na ubinafsi
Such great faith / Imani kubwa kama hiyo
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Jesus said that there is not a greater prophet than John the Baptist. Who did he say was greater than John?
Yesu alisema kwamba hakuna nabii mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Ni nani alisema ni mkubwa kuliko Yohana?
Young children / Watoto wadogo
Those who were least in the kingdom of God / Wale ambao walikuwa wadogo katika ufalme wa Mungu
All who believed in Jesus / Wote waliomwamini Yesu
sons of God / wana wa Mungu
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Which of the following is not in Luke chapter 8?
Je, ni kipi kifuatacho hakipo katika kitabu cha Luka sura ya 8 ?
Parable of the Sower / Mfano wa Mpanzi
Parable of the lamp / Taa chini ya Mtungi
Raising of the Jairus's daughter / Kufufuka kwa binti wa yairo
The two house builders / Wajenzi wawili wa nyumba
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?