Search Header Logo

MAHAKAMANI

Authored by Yaddar Abisai

World Languages

6th - 10th Grade

Used 7+ times

MAHAKAMANI
AI

AI Actions

Add similar questions

Adjust reading levels

Convert to real-world scenario

Translate activity

More...

    Content View

    Student View

10 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Mahakama ni jengo ambalo hutumiwa kwa shughuli za kusikiliza na kuamua kesi. Je, mwanasheria ambaye husikiliza na kukata kesi huitwa nani?

Wakili

hakimu

Kiongozi wa mashtaka

Karani wa korti

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Mtu anapokamatwa na polisi, hufungwa nini mikononi ili asitoroke?

vikuku

pingo

vipingu

nyororo

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Katoti alipatikana na hatia ya wizi wa ng'ombe baada ya jaji kuamua kesi yake. Je, Katoti alilipa malipo yapi kati ya haya?

Dhamana

Fola

Fidia

Faini

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Wakati wa kusikiliza kesi kuhusu wizi wa kimabavu, shahidi mmoja alitoa video aliyorekodi wizi huo ulipofanyika. Video hii ni mojawapo ya ushahidi ambao huitwa______

idhibati

ithibati

dungu

ushuhuda

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Mfanyakazi wa mahakamani ambaye huwasaidia washtakiwa, washtaki au mashahidi kula yamini anaitwa___

Karani wa korti

Kiongozi wa mashtaka

Wakili

mahabusu

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Ni nini maana ya kuruka kesi?

Kukubali kesi ili ikamilike haraka

Kukataa kukubali kesi ili ushahidi utolewe.

Kushinda kesi

Kukwepa kesi kwa ujanja

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

1 min • 1 pt

Kwa kawaida kortini huwa na vizimba vingapi?

A. mbili

B. viwili

C. moja

D. kimoja

Access all questions and much more by creating a free account

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Classlink

Continue with Classlink

Clever

Continue with Clever

or continue with

Microsoft

Microsoft

Apple

Apple

Others

Others

Already have an account?