
KISWAHILI EXAM
Authored by Rukiyah Kadzo
World Languages
7th Grade
Used 1+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
30 questions
Show all answers
1.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Viambishi ni vipi katika neno :
Utamchukulia
(a)
2.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Kijiki kitumiwacho na mwashi kuchotea mchanga huitwaje?
(a)
3.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Watu wanapoagana bila matarajio ya kuonana kwa muda mrefu hutumia tamko lipi?
(a)
4.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Wengi wao walifanya mambo yao taratibu.
Wengi ni aina gani ya maneno
(a)
5.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
2 mins • 5 pts
Msemo upi una maana ya kumpongeza mtu?
(a)
6.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
1 min • 5 pts
Ugonjwa ambao husababisha kukatikakatika kwa viungo vya mwili huitwa?
(a)
7.
FILL IN THE BLANKS QUESTION
3 mins • 5 pts
Andika winfi wa sentensi ifuatayo.
Alitia upanga huo makali juzi.
(a)
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?