
Kiswahili
Authored by Miriam Wanjiru
Other
8th Grade
Used 2+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
10 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
What is Part of speech in Kiswahili.
Aina ya maneno
Sehemu ya Kiswahili
Sehemu ya Kuzungumza
2.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 2 pts
(a) ni maneno yanayotaja majina ya watu, vitu, siku, pahali, au hali.
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 7 pts
Tutaimba ni aina gani ya maneno?
Nomino
Kivumishi
Kitenzi
Kiwakilishi
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 5 pts
Kitenzi "Kata" katika kauli ya kutendana ni nini?
Katiana
Katana
Kataliwa
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 5 pts
Gani kati ya nyakati hizi si sahihi?
Wakati ujao
Hali ya mazoea
Wakati umejao
Wakati uliopo
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Ni aina gani ya maneno inayotumiwa kuelezea sifa za nomino?
Kivumishi
Kitenzi
Kiwakilishi
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Katika Kiswahili, neno "Kula" ni aina gani ya maneno?
Kivumishi
Kitenzi
Nomino
Kiwakilishi
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?