
Yohana 8-14
Authored by Elly Laur
Religious Studies
9th - 12th Grade
Used 1+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
14 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
ni mtu yupi ampendae Yesu?
aliyemwamini Yesu kuwa anatoka kwa Baba
aliyetari kumfuata na kuacha mambo ya dunia kwa ajili yake
yule ashikaye torati na manabii
aliye na amri za Yesu na kuzishika
2.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Yesu alipojua saa yake imefika, atayotoka katika ulimwengu ali amewapenda watu ulimwengu, aliwapenda upeo . maana ya kutupenda upeo lina maana na uzito gani kwako binafsi ?
Evaluate responses using AI:
OFF
3.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile kitambaa alichojifunga. Basi alipokwisha kuwatawadha miguu, na kuyatwaa mavazi yake, na kuketi tena, akawaambia, Je! Mmeelewa na hayo niliyowatendea? Swali hili la Yesu ni kwako?
Evaluate responses using AI:
OFF
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.
Mmoja ya matokeo ya sisi kupendana ni yapi kama alivyosema Bwana??
Watu wote watajua kuwa nyinyi mmekuwa wanafunzi wangu
Baba atawapelekeeni yule Roho wa kweli
Mtakuwa na amani nyingi
Baba atatukuzwa kwa ajili yenu
5.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 1 pt
Jina la mwanamke aliyempaka Yesu kwa Marhamu yenye thamani nyingi anaitwa nani?
6.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 1 pt
[Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda.
Maneno haya yalikuwa utimilifu wa unabii juu ya Yesu wakati anakwenda wapi?
7.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Yn 12:24-25 SUV
[24] Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi. [25] Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.
Kama mtu binafsi na muktadha wa Neno la Bwana, unaitajika kifanya nini na ni somo gani unapewa?
Evaluate responses using AI:
OFF
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?
Similar Resources on Wayground
10 questions
Soalan Pendidikan Islam Tingkatan 1
Quiz
•
7th - 9th Grade
10 questions
QS AL-MAIDAH 48
Quiz
•
11th Grade
12 questions
Asmaul Husna Kelas 10 SMA
Quiz
•
10th Grade
10 questions
Ewangelia Jana
Quiz
•
11th Grade
10 questions
words with fatha sign
Quiz
•
KG - 12th Grade
11 questions
ulum hadis -hadis riwayah dirayah
Quiz
•
9th Grade
16 questions
TASAWWUR ISLAM TINGKATAN 4
Quiz
•
11th Grade
15 questions
islam ve ibadet
Quiz
•
9th Grade
Popular Resources on Wayground
15 questions
Fractions on a Number Line
Quiz
•
3rd Grade
10 questions
Probability Practice
Quiz
•
4th Grade
15 questions
Probability on Number LIne
Quiz
•
4th Grade
20 questions
Equivalent Fractions
Quiz
•
3rd Grade
25 questions
Multiplication Facts
Quiz
•
5th Grade
22 questions
fractions
Quiz
•
3rd Grade
6 questions
Appropriate Chromebook Usage
Lesson
•
7th Grade
10 questions
Greek Bases tele and phon
Quiz
•
6th - 8th Grade
Discover more resources for Religious Studies
15 questions
Making Inferences
Quiz
•
7th - 12th Grade
20 questions
El Verbo IR Practice
Quiz
•
9th Grade
23 questions
TSI Math Vocabulary
Quiz
•
10th - 12th Grade
20 questions
-AR -ER -IR present tense
Quiz
•
10th - 12th Grade
15 questions
Graphing Inequalities
Quiz
•
7th - 9th Grade
10 questions
Cell Organelles and Their Functions
Interactive video
•
6th - 10th Grade
20 questions
Graphing Inequalities on a Number Line
Quiz
•
6th - 9th Grade
15 questions
Combine Like Terms and Distributive Property
Quiz
•
8th - 9th Grade