
Yohana 8-14
Authored by Elly Laur
Religious Studies
9th - 12th Grade
Used 1+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
14 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
ni mtu yupi ampendae Yesu?
aliyemwamini Yesu kuwa anatoka kwa Baba
aliyetari kumfuata na kuacha mambo ya dunia kwa ajili yake
yule ashikaye torati na manabii
aliye na amri za Yesu na kuzishika
2.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Yesu alipojua saa yake imefika, atayotoka katika ulimwengu ali amewapenda watu ulimwengu, aliwapenda upeo . maana ya kutupenda upeo lina maana na uzito gani kwako binafsi ?
Evaluate responses using AI:
OFF
3.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile kitambaa alichojifunga. Basi alipokwisha kuwatawadha miguu, na kuyatwaa mavazi yake, na kuketi tena, akawaambia, Je! Mmeelewa na hayo niliyowatendea? Swali hili la Yesu ni kwako?
Evaluate responses using AI:
OFF
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.
Mmoja ya matokeo ya sisi kupendana ni yapi kama alivyosema Bwana??
Watu wote watajua kuwa nyinyi mmekuwa wanafunzi wangu
Baba atawapelekeeni yule Roho wa kweli
Mtakuwa na amani nyingi
Baba atatukuzwa kwa ajili yenu
5.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 1 pt
Jina la mwanamke aliyempaka Yesu kwa Marhamu yenye thamani nyingi anaitwa nani?
6.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 1 pt
[Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda.
Maneno haya yalikuwa utimilifu wa unabii juu ya Yesu wakati anakwenda wapi?
7.
OPEN ENDED QUESTION
3 mins • 1 pt
Yn 12:24-25 SUV
[24] Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi. [25] Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.
Kama mtu binafsi na muktadha wa Neno la Bwana, unaitajika kifanya nini na ni somo gani unapewa?
Evaluate responses using AI:
OFF
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?