NEW
Font size
S
M
L
XL
WorksheetsKISWAHILI
Total questions: 10
Worksheet time: 5mins
Name
Class
Date
1.
Jibu la hujambo ni __________________________
a)
Marahaba
b)
Shikamoo
c)
Sijambo
d)
Hatujambo
2.
Habari ya mchana?
a)
sasa
b)
habari
c)
nzuri
d)
vipi
3.
Chagua kifaa cha nyumbani
a)
runinga
b)
simba
c)
dawati
d)
rejesta
4.
Sisi huketi kwenye ________________________
a)
sufuria
b)
kochi
c)
nguo
d)
ugali
5.
________________ hutibu wagonjwa.
a)
msusi
b)
mwalimu
c)
daktari
d)
rubani
6.
Kazi ya ___________________ ni kazi ya kupika chakula.
a)
ubawabu
b)
upishi
c)
useremala
d)
udereva
7.
Mwalimu hutumia ____________________ kuandika ubaoni.
a)
penseli
b)
kitabu
c)
kifutio
d)
chaki
8.
Andika vizuri
aptyokmu
a)
Compyuta
b)
komptyuta
c)
kompyuta
d)
komputa
9.
Ni kipi hakipatikani sokoni?
a)
ndovu
b)
kibanda
c)
mizani
d)
mkokoteni
10.
Mtu anayenunua bidhaa sokoni huitwa ____________________
a)
dereva
b)
mchuuzi
c)
mnunuzi
d)
muuzaji
Reset
