NEW
Font size
S
M
L
XL
WorksheetsUKOO
Total questions: 10
Worksheet time: 3mins
Name
Class
Date
1.
Mtoto wa mjomba au Shangazi yako unamwita ____
a)
Mbiomba
b)
Halati
c)
Mkoi
d)
Ami
2.
Dada yake mama ninamwita ____
a)
Hau
b)
Shangazi
c)
Mbiomba
d)
Halati
3.
Mtu uliyeoa naye kwenye familia moja utamwita____
a)
Mwanyumba
b)
Mshenga
c)
Shemeji
d)
Amu
4.
Mtoto wa mjukuu wako utamwita _____
a)
Kilembwe
b)
Kilembwekeza
c)
Kitukuu
d)
Kinying'ina
5.
Kaka ya baba unamwita ____
a)
Amu
b)
Hale
c)
Abu
d)
Hau
6.
Mjomba wako anakuita _____
a)
Jomba
b)
Umbu
c)
Mkoi
d)
Mpwa
7.
Jina ambalo mke wako na dada yako wanaitana ni ____
a)
Shemeji
b)
Wifi
c)
Umbu
d)
Mpwa
8.
Jina ambalo ndugu wa kike na kiume huitana ni _____
a)
Umbu
b)
Mpwa
c)
Amu
d)
Halati
9.
Jina ambalo wazazi wa mume na wale wa mke huitana ni ____
a)
Hau
b)
Mbiomba
c)
Kivyere
d)
Shemeji
10.
Mke wa baba ambaye si mama yako mzazi ni ____
a)
Mama mdogo
b)
Mama wa kambo
c)
Mama mkubwa
d)
Mama mwengine
Reset
