Worksheetsvifaranga 102 7
Total questions: 15
Worksheet time: 8mins
Name
Class
Date
1.
Hujambo?
a)
Poa
b)
Asante
c)
Sijambo
d)
Hujambo
2.
Unaitwa nani?
a)
Sijui
b)
Ajabu
c)
Seth
d)
Abigail
3.
Uko na miaka ngapi?
4 lines
4.
Unaishi wapi?
a)
Marekani
b)
Nairobi
c)
Kenya
d)
Sijui
5.
Hii ni nini?
a)
Kengele
b)
Bendera
c)
Kalamu
d)
Kitabu
6.
Hii ni nini?
a)
Kengele
b)
Bendera
c)
Kalamu
d)
Kitabu
7.
Hii ni nini?
a)
Kengele
b)
Bendera
c)
Kalamu
d)
Kitanda
8.
Hii ni nini?
a)
Kengele
b)
Jiko la
umeme
c)
Kalamu
d)
Kitanda
9.
Unatumia nini kukula?
a)
Sahani
b)
Kiti
c)
Sufuria
d)
Jiko la
umeme
10.
Huwa unalala wapi?
a)
Darasa
b)
Shule
c)
Kitanda
d)
Gari
11.
Hii ni nini?
a)
Friji
b)
Kikombe
c)
Sahani
d)
Jiko
12.
Onyesha picha ya Televisheni
a)
b)
c)
d)
13.
Hii ni nini?
a)
Kalamu
b)
Vitabu
c)
Dawati
d)
Penseli
14.
Huyu ni nani?
a)
Mwalimu
b)
Mkulima
c)
Mwanafunzi
d)
Ubao
15.
Kwaheri...
a)
Kwaheri ya
kuonana
b)
Rafiki
c)
Sijambo
d)
Mambo
100 %
