wayground logo

Free Printable Worksheets

NEW

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

ZOEZI

Total questions: 20

Worksheet time: 15mins

Name
Class
Date
1.
  1. Jaza pengo kwa usahihi.

Gari ______limenunuliwa na mwanaspoti aliyepewa tuzo.

a)

nzuri

b)

zuri

c)

mazuri

d)

mzuri

2.

Tegua kitendawili kifuatacho.

Kuku wangu anatagia mibani.

a)

yai

b)

uyoga

c)

mwavuli

d)

nanasi

3.

Ni saa ngapi?

a)

saa tatu na robo

b)

saa tatu kasorobo

c)

saa tatu kamili

d)

saa tisa kasorobo

4.

Kamilisha methali.

Mwana akibebwa hutazama_____________

a)

mbele

b)

kando

c)

ndivyo akuavyo

d)

kisogo cha ninaye

5.

Andika katika umoja.

Mihogo hiyo imeliwa na wanafunzi.

a)

Muhogo huo umeliwa na mwanafunzi.

b)

Mhogo huo umeliwa na mwanafunzi.

c)

Mihogo hiyo haijaliwa na wanafunzi.

d)

Mihogo hiyo imeliwa na mwanafunzi.

6.

Lipi si tunda?

a)

parachichi

b)

ndizi

c)

viazi

d)

ndimu

7.

Mtoto wa kuku huitwaje?

a)

kikuku

b)

jogoo

c)

kinyaunyau

d)

kifaranga

8.

Andika kwa ukubwa.

Mtoto mdogo amepotea.

a)

Toto dogo limepotea.

b)

MTOTO MDOGO AMEPOTEA.

c)

Watoto wadogo wamepotea.

d)

Mtoto mdogo hajapotea.

9.

Jaza pengo kwa usahihi.

__________ ni mwanafunzi wa gredi ya sita.

a)

Hii

b)

Wao

c)

Sisi

d)

Mimi

10.

Jaza pengo kwa jibu mwafaka.

Ndege ametua _________ ya mti

a)

juu ya

b)

kando ya

c)

chini mwa

d)

ndani ya

11.

Ni orodha gani iliyo na vivumishi viashiria?

a)

hili,hicho ,kile,hayo

b)

la kwanza,vitano,kumi, kimoja

c)

langu, yetu,chao,wenu

d)

nzuri,chafu,nyeusi,jipya

12.

Tumia amba kwa usahihi.

Godoro________lililetwa ni safi.

a)

ambalo

b)

ambacho

c)

ambayo

d)

ambaye

13.

Ukipatana na mtu aliyefiwa na mpendwa wake utamwambia_______

a)

shikamoo

b)

makiwa

c)

buriani

d)

kwaheri

14.

Sentensi ifuatayo imetumia fani gani ya lugha?

Sifa na Sifo wanafanana mithili ya shilingi kwa ya pili.

a)

sitiari

b)

tashbihi

c)

kitendawili

d)

methali

15.

Neno wote katika sentensi ifuatayo ni la aina gani ya maneno?

Wote wamepatikana wakiwa salama.

a)

Kiwakilishi

b)

kivumishi

c)

nomino

d)

Kielezi

16.

Sehemu hii ya mwli huitwa________

a)

moyo

b)

mapafu

c)

kibofu

d)

mshipa

17.

Chagua kundi lenye nomino katika ngeli ya U-I pekee.

a)

hakimu,baharia,mtume

b)

mpera, mkeka,gunia

c)

pweza, mswaki,wembe

d)

mti, miguu, mpira

18.

Ni sentensi gani iliyo katika wakati ujao.

a)

Huenda shuleni.

b)

Ameenda shuleni.

c)

Ataenda shuleni.

d)

Haendi shuleni.

19.

Andika kinyume cha neno "fuma"

a)

bomoa

b)

songa

c)

fumua

d)

anua

20.

Tambua aina za maneno "mzuri" na "shuleni" katika sentensi ifuatayo.

Mtoto mzuri amekimbia hadi shuleni.

a)

kivumishi, nomino

b)

kivumishi, kielezi

c)

kielezi,kiunganishi

d)

nomino,kitenzi