wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Shawnah quiz

Total questions: 71

Worksheet time: 37mins

Name
Class
Date
1.

What is a house called in Kiswahili

a)

Farasi

b)

Nyumba

c)

Kuku

d)

PikiPiki

2.

What is a horse

a)

Farasi

b)

Nyumba

c)

Kula

d)

Pika

3.

What is a cake

4 lines
4.

who is a doctor

a)

Daktari

b)

Muuguzi

c)

Mchoraji

5.

what is a bike

a)

PikiPIki

b)

Gari

c)

Baiskeli

d)

Farasi

6.

Chagua kisawe cha neno jela

a)

Mahakama

b)

Gereza

c)

Husuni

d)

Rumande

7.

Mtu anayeshukiwa kufanya uhalifu wowote huitwa?

a)

Mtuhumiwa

b)

Mwizi

c)

Mhalifu

d)

Mshtakiwa

8.

Mahali ambapo mshtakiwa huzuiliwa kesi yake ikiendelea kusikilizwa huitwaje?

a)

Mahakama

b)

Jela

c)

Rumande

d)

Seli

9.

Jina jingine la jaji

a)

Hakimu

b)

Kadhi

c)

Jela

d)

Daawa

10.

Huandika na kuweka nyaraka za mahakama.

a)

Karani wa mahakama

b)

Kiongozi wa mahakama

c)

Mshtakiwa

d)

Karani

11.

Mshukiwa anapokamatwa na polisi hutiwa_______mikononi

a)

Minyororo

b)

Kamba

c)

Pingu

d)

Jela

12.

Mtu aliyefungiwa rumande huitwa_________

a)

Mtuhumiwa

b)

Mshukiwa

c)

Wakili

d)

Mahabusu

13.

Hakimu wa kiislamu huitwa _______

a)

Kadhi

b)

Wakili

c)

Shehe

d)

Mohamed

14.

Kesi inapopigwa horomo ,yaani kusemekana isikilizwe siku nyingine huwa_____

a)

Imeahairishwa

b)

Imehairishwa

15.

Jina jingine la kesi ni _____

a)

Daawa

b)

Dawa

16.

Adhabu anayopewa mshtakiwa aliyepatikana na hatia yaweza kuwa

a)

Kufungwa jela

b)

Kuachiliwa huru

c)

Kutiwa mbaroni.

17.

Kizimba ni mahali ambapo____husimama

a)

Mshukiwa

b)

Mshtakiwa

18.

Andika Kwa Wingi :

mkadamu yule aliwapa zawadi manamba mtiifu

(a)  

19.

Andika Kwa Wingi :

kijiko cheupe kitatumiwa na mpishi mfupi

(a)  

20.

Andika Kwa Wingi :

gudulia jingine limepasukia chumbani mle

(a)  

21.

Andika Kwa Wingi :

suruali ya mtoto ilikatika vifungo vyote

(a)  

22.

Andika Kwa Wingi :

ukuta wa chumba kipya ulikuwa na ufa mpana

(a)  

23.

Andika Kwa Wingi :

mkeka mweusi unatumiwa na mshitiri

(a)  

24.

Andika Kwa Wingi :

ugonjwa wa kuambukiza ni hatari

(a)  

25.

Andika Kwa Wingi :

mirathi aliyoachiwa itamsaidia na ndugu yake

(a)  

26.

Andika Kwa Wingi :

ugali mkubwa utaliwa na mzee mrefu

(a)  

27.

Andika Kwa Wingi :

kucheza kwake kulimvutia mtazamaji

(a)  

28.

Andika Kwa Wingi :

marashi aliyojirashia ni ya nchi ipi?

(a)  

29.

Andika Kwa Wingi :

shambani palipolimwa panapendeza mkulima

(a)  

30.

Andika Kwa Wingi :

shambani kulikopandwa mti kunavutia mtalii

(a)  

31.

Andika Kwa Wingi :

shambani mlimopandwa ua la waridi mnanukia

(a)  

32.

Andika Kwa Wingi :

mkunga aliyemvua mkunga ana ua zuri kwenye ua wake

(a)  

33.

Ni kipi miongoni mwa vifuatavyo kisichotumika jikoni?

a)

Chano

b)

Fyekeo

c)

Buli

d)

Bilauri

34.

Jua huchomoza upande wa __________.

a)

Magharibi

b)

Kaskazini

c)

Kusini

d)

Mashariki

35.

Daftari la kuandikia lina umbo gani?

a)

Mche

b)

Kopa

c)

Mstatili

d)

Mraba

36.

Mtoto wa mjukuu wangu nitamwitaje?

a)

Mpwa

b)

kitukuu

c)

Kilembwe

d)

Kinying'inya

37.

Mnyama wa msituni anayefanana na nguruwe ni ________

a)

nyati

b)

kifaru

c)

ngiri

d)

swara

38.

Anayemsaidia daktari hospitalini kwa kuwapa wagonjwa dawa na kuhakikisha wamekula anaitwa _____________.

a)

tabibu

b)

mchuuzi

c)

msusi

d)

mwuguzi

39.

Ni nini hutumika pamoja na kinu kutwangia vitu jikoni?

a)

Mche

b)

Mbuzi

c)

Mchi

d)

Buli

40.

Ni vazi lipi huvaliwa na wanawake pekee?

a)

Kanchiri

b)

Suruali

c)

Koti

d)

Kizibao

41.

Rangi ya juu ya upinde wa mvua ni __________ .

a)

machungwa

b)

samawati

c)

nyekundu

d)

kijani

42.

Yupi kati ya wanyama wafuatao ni tofauti na wengine?

a)

Sokwe

b)

Kima

c)

Swara

d)

Tumbiri

43.

Samaki ni kwa maji kama vile ndege ni kwa ___________ .

a)

kombe

b)

kizimba

c)

mzinga

d)

kiota

44.
  1. Kati ya shughuli hizi, ni ipi huja ya kwanza?
a)

Kupanda

b)

Kulima

c)

Kupalilia

d)

Kuvuna

45.

Tumia -ngi au -ngine

samaki (a)   huliwa mijini

46.

Tumia -ngi au -ngine

wageni walipewa chakula (a)   .

47.

Tumia -ngi au -ngine

nguo (a)   hutengenezewa ng'ambo.

48.

Tumia -ngi au -ngine

wachezaji walikunywa maji (a)   .

49.

Tumia -ngi au -ngine

mgonjwa alitokwa na jasho (a)   .

50.

Tumia -ngi au -ngine

sokoni kulijaa maembe (a)   .

51.

Tumia -ngi au -ngine

mataifa (a)   huzingatia utunzaji wa mazingira.

52.

Tumia -ngi au -ngine

njia hii haifai, itatujuzu kutumia (a)   .

53.

Tumia -ngi au -ngine

mkate ukioza ununue (a)   .

54.

Tumia -ngi au -ngine

mkebe ulianguka na kuvunja yai (a)   .

55.

What is father in kiswahili

a)

Babu

b)

Baba

c)

Binamu

d)

Mama

56.

Robert has a sister, what is sister in Swahili

a)

Nana

b)

Lala

c)

Dada

d)

Dudu

57.

Shemeji ni ....... ( Shemeji is.....)

a)

Sister in Law

b)

Brother in law

c)

Father in law

d)

Mother in aw

58.

Mjomba ni ( Mjomba is )

a)

Uncle

b)

Father

c)

Paternal uncle

d)

Aunt

59.

Which family member is the brothers wife ?

a)

Wifi

b)

Mke

c)

Mpwa

d)

Kitukuu

60.

What is step mother in kiswahili ?

a)

Baba wa kambo

b)

Mama wa kambo

c)

Mama

d)

Baba

61.

Babu na nyanya ni.........

a)

Father and mother

b)

Brother and sister

c)

Grand Father and Grand Mother

d)

Cousin and Cousins

62.

Wazazi anaitwa .......... kwa kiingereza

anaitwa ( called )

a)

Guardians

b)

People who take care of you

c)

Parents

d)

Adults

63.

Who are in the picture ?

a)

Wazazi

b)

Mwalimu

c)

Watoto

d)

Babu

64.

How do you say brother in swahili ?

a)

Dada

b)

Mama

c)

Kaka

d)

Baba

65.

How do you say grand father ?

a)

baba

b)

Nyanya

c)

Babu

d)

Dadu

66.

Who do you call the sons or daughters of your mums sister ?

a)

Mpwa

b)

Binamu

c)

Kaka

d)

Dada

67.

Sasa ni saa ngapi?

a)

Saa saba

b)

Saa sita

c)

Saa nane

d)

Saa moja

68.

Ni gani saa sita?

a)
b)
c)
d)
69.

sasa ni saa ngapi?

a)

Saa nane

b)

Saa mbili

c)

Saa saba

d)

Saa sita

70.

Ni gani saa tano kamili?

a)
b)
c)
d)
71.

Sasa ni saa ngapi?

a)

Saa nane

b)

Saa tatu

c)

Saa saba

d)

Saa mbili