Font size
Worksheetskiswahili
Total questions: 10
Worksheet time: 44mins
SALAMU NA MWASILIANO.
Jaza majibu sahihi:
1). Jina lako ni nani?
2).Unatoka wapi?
3).Habari ya Jioni?
4).Karibu, jina lake ni?
Una miaka mingapi?
NAMBA ZA SIKU ZA WIKI.
1.Andika nambari hizi kwa kiswahili:
a)3
b)7
c)10
Taja siku mbili za mwisho wa wiki:
METHALI NA NAHAU
Eleza maana ya methali hii:
Haraka haraka haina baraka
Tumia nahau hii katika sentensi: kula chumvi nyingi
Jaza kiunganishi sahihi:(na, lakini, au, kwa sababu,kisha)
1).Tulikula ......... tukalala
2).Tunataka chai .......... kahawa
3).Alilia ....... alianguka
4).Nilikuja mapema ............mvua ilinyesha
5).Alioga ............ akavaa nguo
(a)
Wewe unatoka wapi?
Hii ni sentensi aina gani?
elezi
ulizi
mshangao
amri
Simama hapo!
Hii ni sentensi aina gani?
mshangao
ulizi
amri
elezi
Ametoka sokoni.
Hii ni sentensi aina gani?
amri
mshangao
elezi
ulizi
Kumbe alifaulu!
Hii ni sentensi aina gani?
mshangao
ulizi
elezi
amri
Ninaenda shuleni
Hii ni snetensi aina gani?
amri
ulizi
elezi
mshangao
