wayground logo

Free Printable Worksheets

NEW

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

KISWAHILI JUMA LA 1

Total questions: 20

Worksheet time: 10mins

Name
Class
Date
1.

Chumba maalum nyumbani ambacho huwa tunaketi kutazama televisheni na kuwakaribishia wageni huitwa____________

a)

sebule

b)

kinu

c)

jokofu

d)

maktaba

2.

Kifaa hiki hutumiwa nyumbani kuhifadhia chakula na vinywaji. Ni neno gani halifai katika kati ya haya?

a)

jirafu

b)

jokofu

c)

serendani

d)

friji

3.

Bibi ni kwa pipi kama vile ___________ ni kwa chana .

a)

goti

b)

kamba

c)

baba

d)

jana

4.

Kifaa hiki hupatikana jikoni. Je, kinaitwaje?

a)

serendani

b)

jokofu

c)

chandarua

d)

zulia

5.

Hiki ni kitanda. Miguu ya kitanda huitwaje?

a)

malazi

b)

sakafu

c)

vitate

d)

matendeguu

6.

________________ ni maneno yanayokaribiana kwa matamshi.

a)

vitate

b)

sebuleni

c)

nomino

d)

tumbuu

7.

Tambua picha ifuatayo?

a)

pazia

b)

zulia

c)

kochi

d)

sakafu

8.

Chombo hiki huitwa redio. Neno jingine la redio ni __________

a)

televisheni

b)

mwengoya

c)

kiota

d)

kompyuta

9.

_______________hutukinga kutoumwa na mbu tunapolala.

a)

Leso

b)

kitanda

c)

chandarua

d)

blanketi

10.

Tambua vifaa hivi.

a)

kinu na mchi

b)

mwiko na sufuria

c)

mpini na kinu

d)

jirafu na jokofu

11.

Kifaa kinachotumiwa kufunga mlango huitwa _____________

a)

tumbuu

b)

kizingiti

c)

mto

d)

loki

12.

Kati ya maneno yafuatayo,ni jozi gani isiyo na vitate?

a)

waya-yaya

b)

panda-banda

c)

sofa-kochi

d)

gugu-kuku

13.

Kitambaa kinachotumiwa kuwekea mto wa kulalia au kuegemea huitwa_________

a)

foronya

b)

mto

c)

mkeka

d)

godoro

14.

Yupi si ndege katika kati ya hawa?

a)

kanga

b)

bata

c)

njiwa

d)

panya

15.

Jaza pengo.

Nilimpata ______ katika kisima hicho.

a)

bibi

b)

baba

c)

bata

d)

yaya

16.

Jaza pengo.

Si vyema kubebea pasi kwenye________

a)

basi

b)

paa

c)

shati

d)

dada

17.

Mimi ni ubao ulio juu na chini ya mihimili ya mlango na madirisha. Je mimi ni nani?

a)

bulbu

b)

foronya

c)

kizingiti

d)

pazia

18.

__________ ni mto wa kukalia au kuegemea.

a)

takia

b)

chandarua

c)

mawe

d)

godoro

19.

Mimi ni kifaa cha nyumbani.Kwa kawaida utanipata sebuleni.Watu hupenda kunitazama. Je, mimini nani?

a)

tumbuu

b)

kompyuta

c)

runinga

d)

mwengoya

20.

Chumba kinachopatikana nyumbani ambacho watu huenda kuogea huitwaje?

a)

bafu

b)

msalani

c)

sebuleni

d)

majilisini