
MSAMIATI WA MAHAKAMANI
Presentation
•
World Languages
•
6th - 11th Grade
•
Hard
Yaddar Abisai
Used 1+ times
FREE Resource
20 Slides • 0 Questions
1
MSAMIATI WA MAHAKAMANI
Na bwana Yaddar Abisai
2
Pingu/vikuku
Hivi ni vitu vilivyotengenezwa kwa chuma ambavyo hutumiwa kumfungia mshukiwa mikononi ili asitoroke
3
Dungu
Mahali ndani ya mahakama ambapo jaji au hakimu huketi wakati wa kusikiliza na kuamua kesi.
4
Kiongozi wa mashtaka
Mtaalamu ambaye huendeleza kesi mahakamani. Hueleza kuhusu kesi, mshtakiwa, mshtaki au mashahidi
5
Karani wa korti
Mwenye kazi ya kuandika na kutunza nyaraka za korti. Pia hufanya kazi ya kuwaapisha wanaozungumza kortini. (Mshtaki, Mshtakiwa na shahidi)
6
Ahirisha kesi
Kitendo cha kusongeza kesi ili isikilizwe wakati mwingine. Jaji au hakimu ndiye mwenye uwezo wa kuahirisha kesi.
7
Kukata kesi
Kitendo cha kuamua kesi. Ni jaji tu au hakimu anayeweza kukata kesi.
8
Korokoroni
Mahali ambapo mshukiwa hufungiwa ili afikishwe mahakamani. Pia huweza kuitwa kizuizi au seli.
9
Mahakama au Korti
Hili jengo ambalo limeundwa spesheli kwa ajili ya mambo ya kisheria.
(Ngeli ya I-ZI)
10
Mahakamani/Kortini
Hapa ni mahali ambapo kesi husikilizwa na kuamuliwa.
(Ngeli ya pa-ku-mu)
11
Hakimu / Jaji
Huyu ni mwanasheria ambaye husikiliza na kuamua kesi mahakamani
12
Wakili
Mwanasheria ambaye huwakilisha mshtakiwa, mlalamishi au shahidi mahakamani wakati wa kusikiliza kesi.
13
Mshukiwa
Mtu ambaye amekamatwa na askari kwa dai la kutenda uhalifu au kuvunja sheria
14
Mshtakiwa/mtuhumiwa
Ni mtu ambaye ameshtakiwa kwa dai la kutenda uovu au kuvunja sheria. Ameshtakiwa na kufikishwa mahakamani
15
Mshtaki/mlalamishi
Mtu ambaye huenda kortni kudai kuwa amekosewa au kuvunjiwa sheria.
Mshtaki ni kinyume cha mshtakiwa.
16
Shahidi
Anayefika Kortini au mahakamani kutoa habari ambazo zinahusiana na kutendeka kwa kosa au kesi. Shahidi hutoa ushahidi.
17
Ithibati
Ni vitu ambavyo hutumiwa mahakamani kuonyesha ukweli wa mambo fulani yanayohusu kesi.
18
Kizimba
Mahali ndani ya mahakama ambapo mshtakiwa, mshtaki au shahidi husimama anapotoa taarifa yake kuhusu kesi.
19
Rumande
Mahali kule gerezani, ambako mshtakiwa huzuiliwa kesi yake inapoendelea
20
Dhamana
Malipo anayolipa mshtakiwa ili awachiliwe huru kesi yake inapoendelea. Mshtakiwa hulipa dhamana ili asipelekwe katika rumande
MSAMIATI WA MAHAKAMANI
Na bwana Yaddar Abisai
Show answer
Auto Play
Slide 1 / 20
SLIDE
Similar Resources on Wayground
11 questions
Stating likes and dislikes in French
Presentation
•
7th - 10th Grade
14 questions
Accord du verbe avec plus qu'un sujet
Presentation
•
7th - 10th Grade
13 questions
Comment vous sentez-vous?
Presentation
•
6th - 9th Grade
16 questions
Manie Musicale Matchup 12
Presentation
•
8th - 10th Grade
12 questions
Auscycling NSW Academy Welcome
Presentation
•
7th - 12th Grade
13 questions
ALler Immediate Future
Presentation
•
8th - 12th Grade
18 questions
6Y OL Les loisirs
Presentation
•
6th - 11th Grade
12 questions
Révision du subjonctif des verbes réguliers
Presentation
•
6th - 12th Grade
Popular Resources on Wayground
11 questions
Hallway & Bathroom Expectations
Quiz
•
6th - 8th Grade
10 questions
HCS SCI 03 Summer School Assessment 2
Quiz
•
3rd Grade
11 questions
Home Scope
Quiz
•
7th - 8th Grade
12 questions
2026 TAP Technology in the Classroom
Presentation
•
Professional Development
15 questions
HCS SCI 05 Summer School Assessment 2 Review
Quiz
•
5th Grade
15 questions
HCS SCI 04 Summer School Review 2
Quiz
•
4th Grade
59 questions
Geometry Unit 3 Review
Quiz
•
9th - 12th Grade
14 questions
FAST ELA READING SMAPLE TEST MATERIALS
Passage
•
3rd Grade