Search Header Logo

Dondoo ya Chozi La Heri

Authored by Chloe Waruhiu

Other

12th Grade

Used 4+ times

Dondoo ya Chozi La Heri
AI

AI Actions

Add similar questions

Adjust reading levels

Convert to real-world scenario

Translate activity

More...

    Content View

    Student View

4 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 1 pt

"Alijiona akiamka asubuhi ambayo ilizaa usiku wa jana...kwa umbali alainza kusikia sauti..." Maneno haya yanasemwa na nani?

Ndugu Kaizari

Lunga

Msimulizi

Ridhaa

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 1 pt

Wingi wa vinywa vya kulishwa ulizua uhasama na migogoro na uhitaji mkubwa" Nini linatokea baada ya haya?

Mzee Msublili anawahamisha wake wawili

Serikali inaleta chakula cha msaada kwenye kambi

Mwangeka anawapa wana wake watatu chakula

Ridhaa anamzungumzia Tila kuhusu kupokonywa ardhi na wakoloni

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 1 pt

"Nilipoona kuu mno wa ugonjwa wa kipindupindu umeanza, niliwasihi wenzangu kuchimba misala, maarufi kwa jina long drop siku hizo" FamilIa ya msemaji inahusu nani?

Terry, Tila, Mwangeka, Mukeli, Dede

Subira, Lime, Mwanaheri

Yuko solo

Sophie, Don Ridhaa, Umu na Apondi

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

45 sec • 1 pt

"Poa sana sistee, we ni mnoma. Siku moja nitakuhelp hata mama....." Msemewa ni nani?

Sophie

Umu

Cizarina

Chandachema

Access all questions and much more by creating a free account

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Classlink

Continue with Classlink

Clever

Continue with Clever

or continue with

Microsoft

Microsoft

Apple

Apple

Others

Others

Already have an account?