
Kiswahili
Authored by Andalia Duncan
Other
5th - 6th Grade
Used 2+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
15 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Kamilisha kwa amba-: Rinda _______ anavaa ni safi
ambao
ambayo
ambalo
ambacho
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Jina gani liko katika ngeli ya U-I
mtume
maji
mwewe
mwembe
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Kamilisha methali: Asiyekujua _________
hakujui
hakuthamini
hakuamini
hakujali
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Tegua kitendawili: Halima wangu mwembamba ni fundi wa kuungaunga ______
Ufagio
sindano
kiberiti
sungura
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Neno lipi si la adabu?
Nataka
Mjamazito
Kundradhi
Samahani
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
30 sec • 1 pt
Nini wingi wa: Bata mdogo anaogelea kwenye bwawa.
Bata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.
Mabata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.
Bata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.
Mabata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Tumia -ngine: Nyumba _____ zitajengwa
nyingine
ingine
mingine
mengine
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?