Kiswahili

Kiswahili

5th - 6th Grade

15 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

WATU NA KAZI ZAO

WATU NA KAZI ZAO

5th - 8th Grade

10 Qs

Tasawwur Islam T4

Tasawwur Islam T4

5th Grade

16 Qs

Al-Isra Wa Al-Miraj

Al-Isra Wa Al-Miraj

5th Grade

20 Qs

Familia Yangu grade 6

Familia Yangu grade 6

6th - 7th Grade

12 Qs

Moco Aksara jawa

Moco Aksara jawa

5th Grade

20 Qs

Mjarabu wa wanyama wa porini.

Mjarabu wa wanyama wa porini.

6th Grade

15 Qs

SARUFI

SARUFI

6th Grade

18 Qs

Mahakamani

Mahakamani

6th - 8th Grade

20 Qs

Kiswahili

Kiswahili

Assessment

Quiz

Other

5th - 6th Grade

Hard

Created by

Andalia Duncan

Used 2+ times

FREE Resource

15 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Kamilisha kwa amba-: Rinda _______ anavaa ni safi

ambao

ambayo

ambalo

ambacho

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Jina gani liko katika ngeli ya U-I

mtume

maji

mwewe

mwembe

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Kamilisha methali: Asiyekujua _________

hakujui

hakuthamini

hakuamini

hakujali

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Tegua kitendawili: Halima wangu mwembamba ni fundi wa kuungaunga ______

Ufagio

sindano

kiberiti

sungura

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Neno lipi si la adabu?

Nataka

Mjamazito

Kundradhi

Samahani

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Nini wingi wa: Bata mdogo anaogelea kwenye bwawa.

Bata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.

Mabata wadogo wanaogelea kwenye bwawa.

Bata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.

Mabata wadogo wanaogelea kwenye mabwawa.

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

20 sec • 1 pt

Tumia -ngine: Nyumba _____ zitajengwa

nyingine

ingine

mingine

mengine

Create a free account and access millions of resources

Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports
or continue with
Microsoft
Apple
Others
By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy
Already have an account?