
Kiswahili Toleo La 1
Authored by Frank Omuka
Other
5th - 8th Grade
Used 5+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
25 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Maadili ni mwenendo au tabia------------------
mwema
njema
jema
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Maadili ni kitu muhimu kwa binadamu--------
wowote
yoyote
yeyote
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Kila mwanafunzi ------hana kitu hiki muhimu hukataliwa na--------shuleni na hata nyumbani--------
ambaye,wenzake,kwao
ambayo,wenzao,chao
ambao,wenzio,zao
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Hata marafiki -------pia huwa hawatembei--------kucheza naye.
yake,ila
wake,wala
zake,wala
wake,na
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Kwa hivyo,tabia-------vijana lazima ziwe za---------
za,kupendeza
ya,nzuri
la,kuchukiza
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
2 mins • 1 pt
Mtu anapokuwa na maadili,ni-----------atumie maneno------anapoongea na wenzake.
njema,vizuri
vizuri,mazuri
nzuri,mzuri
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Aidha,---------anayoyavaa nayo lazima yawe bora.
manguo
nguo
mavazi
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?