wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

Mahakamani

Total questions: 20

Worksheet time: 2hrs 40mins

Name
Class
Date
1.

Mahali ambapo kesi husikilizwa na kuamuliwa huitwa

a)

kituo cha polisi

b)

korti

c)

kizimba

d)

gereza

2.

Anayefikiriwa kufanya kosa huitwa

a)

mshukiwa

b)

mshtakiwa

c)

mlalamishi

d)

wakili

3.

Vikuku anavyotiwa mhalifu mkononi huitwa

a)

ithibati

b)

pete

c)

vipuri

d)

pingu

4.

Anayepeleka kesi kortini huitwa

a)

hakimu

b)

shahidi

c)

mshtaki

d)

mshukiwa

5.

Sehemu kama sanduku ambapo mshtaki/mshtakiwa au shahidi husimama huitwa

a)

husuni

b)

gereza

c)

kizimba

d)

jela

6.

Mtu anayeshughulika na nyaraka za kesi kortni huitwa

a)

jaji

b)

karani wa korti

c)

kiongozi wa mashtaka

d)

mkalimani

7.

Mahali ambapo kesi husikilizwa na kuamuliwa ni ____________

a)

mahakama

b)

kizimba

c)

korokoro

d)

jela

8.

Mshukiwa au mhalifu anapokamatwa na polisi hupelekwa kwenye ________________

a)

kituo cha polisi

b)

mahakama

c)

husuni

d)

jela

9.

Pesa au kitu kinachotolewa ili mshtakiwa asikilize kesi akiwa nje ya mahakama ni ______________

a)

faini

b)

ushahidi

c)

ithibati

d)

dhamana

10.

Kamatwa na polisi ni ___________

a)

tiwa akilini

b)

tiwa mbaroni

c)

funga pingu za maisha

d)

tiwa moyoni

11.

Pesa anazotozwa mhalifu baada ya kupatikana na kosa ni _______________

a)

malipo

b)

dhamana

c)

faini

d)

mshahara

12.

Anayetiwa gerezani baada ya kupatikana na kosa ni (a)  

13.

Kesi kutokana na kupanga njama za kupindua serikali ni _____________

a)

jinai

b)

uhaini

c)

fitina

d)

chuki

14.

Kitu kinachotolewa ili kuthibitisha kosa lililofanywa ni _______________

a)

kitu kidogo

b)

ushahidi

c)

evidensi

d)

vifaa

15.

Kesi pia huitwa _______________

a)

daawa

b)

majukumu

c)

hotuba

d)

kikao

16.

Anayeshughulikia nyaraka za kesi za mahakamani ni _______________

a)

kiongozi wa mashtaka

b)

jaji

c)

karani wa korti

d)

wakili wa serikali

17.

Mshauri mkuu wa serikali kuhusiana na mambo ya sheria ni______________________

a)

jaji mkuu

b)

mkuu wa sheria

c)

spika wa senenti

d)

spika wa bunge la kitaifa

18.

Anayeongoza na kuelekeza mkondo wa kesi mahakamani ni ______________

a)

jaji mkuu

b)

kiongozi wa kesi

c)

kiongozi wa korti

d)

wakili wa mshtakiwa

19.

Anayemtetea mshtaki au mshtakiwa ni ________________

a)

mtetezi

b)

jaji

c)

Mungu

d)

wakili

20.

Kesi iliyo na uzito mkubwa k.m. kesi ya mauaji huitwa _________________

a)

uhaini

b)

jinai

c)

daawa

d)

husuni