WorksheetsFAMILIA
Total questions: 10
Worksheet time: 5mins
Name
Class
Date
1.
unaishi wapi?
a)
kenya
b)
marekani
c)
shuleni
d)
kanisani
2.
leo ni siku gani?
a)
jumanne
b)
jumatano
c)
alhamisi
d)
ijumaa
3.
huyu ni?
a)
nyanya
b)
babu
c)
shangazi
d)
mjomba
4.
huyu ni?
a)
babu
b)
nyanya
c)
mjomba
d)
shangazi
5.
dada ya mama anaitwaje?
a)
mama
b)
shangazi
c)
mjomba
d)
dada
6.
kaka ya baba utamwitaje?
a)
shangazi
b)
mjomba
c)
nyanya
d)
kaka
7.
Dylan ni nani kwa Seth?
a)
kaka
b)
baba
c)
mjomba
d)
babu
8.
mtoto wa shangazi ni?
a)
mjomba
b)
nyanya
c)
kaka
d)
binamu
9.
hii ni nini?
a)
ndege
b)
basi
c)
matatu
d)
pikipiki
10.
hii ni nini?
a)
tufaha
b)
machungwa
c)
maembe
d)
nanasi
100 %
