wayground logo

Free Printable Worksheets

Font size

S
M
L
XL
Worksheets

CHEMSHABONGO

Total questions: 20

Worksheet time: 16mins

Name
Class
Date
1.

Salamu Chewa zinajibiwa vipi?

a)

Sadakta

b)

Ewaah

c)

Chewa

d)

Marahaba

2.

Ni neno lipi halifai kuwa katika orodha?

a)

Shule

b)

uzi

c)

rula

d)

meza

3.

Je, Kifaa hiki cha jikoni kimepewa jina lipi la kweli?

a)

kikaango

b)

dohani

c)

karo

d)

mbuzi

4.

Tarakimu 10,001 katika maneno ni ......

a)

Elfu kumi na moja

b)

Kumi elfu na moja

c)

Moja elfu na kumi

d)

Elfu mia moja na moja

5.

Kamilisha kwa kuchagua nominojamii iliyo sahihi.

Mkutano wa shuleni ulihudhuriwa na ______ ya watu.

a)

umati

b)

genge

c)

mkusanyiko

d)

halaiki

6.

Iwapo leo ni Jumanne, Keshokutwa itakuwa siku gani?

a)

Alhamisi

b)

Jumatatu

c)

Jumapili

d)

Jumamosi

7.

Jana ilikuwa Jumapili tarehe saba. Je, mtondo itakuwa siku gani na tarehe gani?

a)

Ijumaa tarehe kumi

b)

Alhamisi tarehe kumi na moja

c)

Jumamosi tarehe kumi na moja

d)

Jumanne tarehe tano

8.

Miaka mitano ina miezi mingapi kwa jumla?

a)

Miezi tisini

b)

miezi sabini

c)

miezi kumi na miwili

d)

miezi sitini

9.

Taja jina sahihi la kifaa hiki cha teknolojia.

a)

hadubini

b)

kiyuweo

c)

kasoko

d)

darubini

10.

Tambua jina la kifaa hiki cha teknolojia

a)

Hadubini

b)

Kasoko

c)

kiyuweo

d)

darubini

11.

Salamu Chewa zinajibiwa vipi?

a)

Sadakta

b)

Ewaah

c)

Chewa

d)

Marahaba

12.

Lishe bora huzingatia aina tatu za vyakula pamoja na kunywa maji. Je, nyama ya kuku ni aina gani ya chakula?

a)

Wanga

b)

Protini

c)

Vitamini

d)

mafuta

13.

Chagua viteuzi ambavyo ni nominojamii sahihi.

a)

Mlolongo wa magari

b)

Msitu wa miti

c)

Genge la wezi

d)

Tone la hewa

14.

Chagua maelezo ambayo yanafaa fasihi simulizi.

a)

Ni miliki ya jamii

b)

Huwasilishwa kwa kusoma

c)

Huwa imeandikwa katika vitabu

d)

Hadhira yake si hai

15.

Mtu ambaye huandika na kumiliki fasihi katika kitabu kama vile novela huitwa ____

a)

Mhusika mkuu

b)

Mchapishaji

c)

Mwandishi

d)

Msomaji

16.

Kuna aina mbili za fasihi. Fasihi andishi na fasihi (a)  

17.

Alama ya kuakifisha ambayo hutumiwa kuonyesha mwisho wa sentensi huitwa vipi?

(a)  

18.

Chagua kiteuzi ambacho kimeakifishwa visivyo.

a)

S.L.P.

b)

10,02,2024

c)

Nairobi

d)

Bw. Kenga.

19.

Jina jingine la barua ya kirafiki ni _____

a)

barua ya kikazi

b)

barua ya kindugu

c)

barua ya kijamii

d)

barua ya kidugu

20.

Chagua maelezo yaliyo ya kweli.

a)

Barua ya kirafiki ina anwani mbili.

b)

Barua ya kirafiki haina anwani hata moja

c)

Barua ya kirafiki haina salamu

d)

Anwani ya barua ya kirafiki ni ya mwandishi wa barua yenyewe