NEW
Font size
WorksheetsMAZOEZI YA KISWAHILI
Total questions: 30
Worksheet time: 15mins
Papa ni kwa baba kama vile pipi ni kwa_________
bibi
popo
pii
biblia
Maneno kama vile msichana,paka,balbu, tarakilishi,kipepeo na kizingiti kwa neno moja huitwaje?
maneno
vitenzi
nomino
vivumishi
Chagua jibu lenye vitate
waya,yaya
nuna,tabasamu
msichana, banati
kiatu,soksi
Mama yangu alinunua mikate__________ mitamu.
nne
minne
vinne
wanne
Kamilisha sentensi kwa kivumishi kifaacho.
Dawati la mwanafunzi ni ________
kipya
vipya
mpya
jipya
Cheza, imba, kimbia,ruka na soma ni mifano ya ______
vitenzi
vivumishi
vielezi
nomino
Miguu ya kitanda au meza huitwaje?
magurudumu
matendeguu
maguu
vizingiti
Ni maamkuzi gani yanayofaa katika picha hii?
makiwa- tunayo
chewa- chewa
cheichei - Ewaa
Shikamoo - marahaba
Jibu la maagano alamsiki ni _________
buriani
kwaheri
binuru
inshallah
Barua ya kirafiki ina anwani ngapi?
mbili
moja
tatu
nyingi
Shairi hili ni la aina gani?
tarbia
tathmina
takmisa
tathlitha
Tegua kitendawili kifuatacho.
Chalia,chatembea,na chala chakula cha mikono.
Neno lililopigiwa mstari ni la aina gani?
Kijakazi anapikia chakula jikoni.
kivumishi
kielezi
kiwakilishi
kitenzi
Jaza pengo.
__________ni mshororo wa shairi unaorudiwarudiwa.
petu
kwetu
mwetu
humu
mashine hii huitwa kompyuta. Vilevile huitwa________
dira
tarakilishi
chandarua
runinga
Kisawe cha redio ni _________
mwengoya
rununu
tarakilishi
serendani
kisawe cha televisheni ni ________
redio
runinga
bendera
zulia
Chagua neno baki .
jokofu
serendani
kinu
chandarua
Andika kwa wingi.
Karani ameandika barua.
makarani wameandika barua.
karani wameandika barua.
makarani yameandika barua.
karani zimeandika barua.
Ngeli ya A-WA hujumuisha majina ya ________
wanyama pekee
viumbe wenye uhai
watu pekee
ndege pekee
Jaza pengo kwa kiambishi kifaacho.
Punda wale __mekula nyasi zote.
zi
wa
a
i
Kamilisha methali.
Mtoto umleavyo ______________
angali mbichi
hutazama kisogo cha nina
ni nyoka
ndivyo akuavyo
Sehemu iliyo upande mwingine wa magharibi ni_______
mashariki
kusini
mapema
kaskazini
Wingi wa ubeti ni______
beti
mabeti
mavibeti
vibeti
Barua pia huitwaje?____________
waraka
anwani
dominika
mtima
Mstari katika shairi huitwaje?
Kibwagizo
Ubeti
Kinu
Mshororo
Ndege huishi kwenye_____________
Kiota
Kizimba
Nyumba
Kasri
Mimi,sisi,wewe,nyinyi,yeye na wao ni maneno ambayo huitwa___________
Vivumishi
Viwakilishi
Vihusishi
Viunganishi
Kitambaa kinachowekwa kwenye dirisha huitwaje?
Jokofu
Rununu
Pazia
Kizingiti
_________ ni mtungo wa kisanaa wa Kiswahili unaotungwa kwa kuzingatia sheria fulani.
Kibwagizo
Ubeti
Shairi
Tarbia
