WorksheetsWeekend assignment-Kiswahili
Total questions: 20
Worksheet time: 40mins
Chagua kisawe cha neno jela
Mahakama
Gereza
Husuni
Rumande
Mtu anayeshukiwa kufanya uhalifu wowote huitwa?
Mtuhumiwa
Mwizi
Mhalifu
Mshtakiwa
Jibu maamkuzi haya: Hujambo?
Njema
Sijambo
Nzuri
marahaba
Wakati unapotaka kusaidiwa na mtu, unatumia neno gani la adabu kuomba?
Tafadhali.
Asante
Bwana
Bibi
Herufi za lugha ya Kiswahili ni ngapi?
28
26
30
25
Tuna Irabu ngapi katika lugha ya Kiswahili?
6
7
8
5
Neno "nyundo" lina herufi ngapi?
6
7
5
2
Mpwa atafika nyumbani kesho.
Wapwa watafika nyumbani kesho.
Mpwa watafika nyumbani Kesho.
Mpwa amefika nyumbani kesho.
Wapwa walifika nyumbani kesho.
Mzazi amekuja shuleni.
Wazazi walikuja mashuleni.
Wazazi watakuja shuleni.
Wazazi wamekuja mashuleni.
Wazazi wamekuja shuleni.
Kipi kati ya hivi si kiungo cha mapishi?
bizari
ndizi
pilipili
kitunguu
Geuza katika wingi: Mkate nilioula ulikuwa mtamu.
Mikate tulizozila zilikuwa tamu.
Mikate niliyoila ilikuwa mitamu.
Mikate tuliyoila ilikuwa tamu.
Mikate tuliyoila ilikuwa mitamu
Mtoto wa chui huitwaje?
shibli
kinegwe
kisui
kiluwiluwi
Mpanda ngazi.......
huanguka
hushtuka
Hushukishwa
Hushuka
Ukicha mwana kulia....
Utalia sana
utaumia
utapata shida
utalia wewe
Nyanya ni fisi inamaanisha?
Mkali
Mlafi
Mrefu
Mnene
Mwanafunzi yule ni mkia wa mbuzi
Mfupi
Mkaidi
Mwembamba
Mchoyo
Viatu vizee vina matope - Neno lipi ni kivumishi
viatu
vizee
vina
matope
Tambua kivumishi:
John amenunua nyumba zingine.
John
amenunua
nyumba
zingine
Onyesha kielezi:
Mwanafunzi mtiifu aghalabu hufuzu aushi
aghalabu
mtiifu
mwanafunzi
hufuzu
Onyesha kielezi:
mgonjwa wa malale alitembea polepole.
mgonjwa
malale
alitembea
polepole
