NEW
Font size
S
M
L
XL
WorksheetsKiswahili gredi ya kwanza
Total questions: 15
Worksheet time: 8mins
Name
Class
Date
1.
Shikamoo?
a)
Salama
b)
Sijambo
c)
Marahaba
2.
U hali gani?
a)
Vyema
b)
Njema
c)
Sijambo
3.
Hamjambo?
a)
Hatujambo
b)
Sijambo
c)
Poa
4.
Umeshindaje?
a)
Marahaba
b)
Sijambo
c)
Vyema
5.
________hupatikana darasani
a)
Kijiko
b)
Jembe
c)
Chaki
6.
________hutumika kufuta kwenye ubao.
a)
Chaki
b)
Kifutio
c)
Kichongeo
7.
Sisi huweka madaftari yetu kwenye_______
a)
Dawati
b)
Mfuko
c)
Kichwa
8.
Tenganisha silabi za neno hili:
Mwalimu
_______________
a)
M-wa-limu
b)
M-wa-li-mu
c)
Mwa-li-mu
9.
Andika kwa herufi kubwa:
Chakula
a)
CHAKuLa
b)
CHAKULA
c)
cHAKULA
10.
Andika kwa herufi ndogo:
Kitabu
a)
KitAbu
b)
kitabu
c)
KITabu
11.
Kamilisha silabi.
Ba ___. Bi. Bo. Bu
a)
Ba
b)
Bu
c)
Be
12.
Jaza pengo:
Mp__ra
a)
O
b)
U
c)
I
13.
Unganisha silabi kuunda neno:
Mwa-na-fu-nzi
a)
Mwanafunzi
b)
Mwana-funzi
c)
Mwa-na funzi
14.
Unda neno kutokana na silabi:
Sha___________
a)
Shimo
b)
Shuka
c)
Shati
15.
Unda neno kutokana na sauti:
/Ch/
____________
a)
Shuka
b)
Chai
c)
Shule
Reset
